• Malalamiko |
    • wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe za watumishi |
Chunya District Council
Chunya District Council

jamhuri ya muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi na Tawala za mikoa na serikali za mitaa Halmashauri ya wilaya ya Chunya

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • muundo wa Taasisi
    • Misingi Mikuu
  • Utawala
    • Mipaka ya Kiutawala
    • Idara
      • Utumishim na Utawala
      • Mipango,ufuatiliaji na Takwimu
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ujenzi
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Tehama
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Madini
  • Huduma zetu
    • Huduma za afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma ya Maji
    • Huduma za kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha, Utawala, Mipango
      • Afya, Elimu, Maji
      • Maadili
      • Ukimwi
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
      • Ratiba ya vikao
      • Mwenyekiti kuonana na Wananchi
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi ambayo haijakamilika
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Utaratibu wa kufuata
    • Ripoti
    • Sheria
    • fomu za maombi
  • kituo cha habari
    • taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba mbali mbali
    • Maktaba ya picha
    • matukio mbali mbali
    • Habari

FUM YARIDHISHWA NA MIRADI INAYOTEKELEZWA WILAYANI CHUNYA.

Imewekwa: April 26th, 2023

Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango halmashauri ya wilaya ya Chunya Mkoani Mbeya imeridhishwa na miradi ya maendeleo inayotekelezwa na kusimamiwa wilayani humo

Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango imefanya ziara ya kukagua miradi ya kipindi cha robo ya tatu kwa mwaka wa fedha 2022/2023 mwezi Januari – Machi ambapo imekagua mradi wa ujenzi wa nyumba ya watumishi 3 in 1 katika shule za msingi Itete na Sipa, ujenzi wa matundu 10 ya vyoo katika kituo shikizi cha Majiweni, ujenzi wa bweni la Wanafunzi wenye mahitaji maalamu katika shue ya msingi kibaoni, ujenzi wa kituo cha afya mafyeko, ujenzi wa shule ya sekondari ya wasichana Mayeka, na ujenzi mradi wa upanuzi wa Hospitali ya wilaya

Akizungumza katika ziara hiyo ya ukaguzi wa miradi, Mwenyekiti wa Halmashauri ya wilaya ya Chunya Mhe. Bosco Mwanginde amepongeze menejimenti na watendaji kwa usimamizi mzuri wa miradi hiyo ya maendeleo ambayo inayotekelezwa kwa fedha za serikali kuu, mapato ya ndani na defha kutoka kwa wadau na wananchi.

Mhe. Mwanginde kwa niaba ya kamati amesema, ni muhimu kwa halmashauri kuhakikisha kuwa miradi inayotekelezwa inaleta tija na ina wanufaisha wananchi kwa kiwango kikubwa, hivyo basi ni muhimu kuhakikisha miradi yote inayotekelezwa iendane na mahitaji ya wananchi na fedha zinazotumika zitumike kwa malengo yaliyokusudiwa.

“Kwa ujumla miradi imetekelezwa kwa kiwango na ubora na thamani ya fedha inaonekana” alisema Mhe, Mwanginde

Aidha kamati imeutaka uongozi wa halmashauri ya wilaya ya Chunya kuhakikisha miradi yote inayotekelezwa ndani ya wilaya inakamilika kwa wakati na kuleta tija kwa wananchi na inakuwa na matokeo chanya katika maendeleo ya hamashauri na taifa kwa ujumla.

Kwa upande wa Mkurugenzi mtendaji wa Halmashauri ya wilaya ya Chunya Ndugu, Tamim Kambona amepokea pongezi hizo kwa niaba ya watumishi na menejimenti kwa ujumla na ameahidi kuendelea kusimamia na kuhakikisha miradi hiyo inayo tekelezwa ina jengwa kwa ubora na kukamilika kwa wakati ili kutatua changamoto mbalimbali kwa wananchi.

Ziara ya Ukaguzi wa miradi mbalimbali hufanyika kila baada ya robo ya mwaka wa fedha, na hii ni ziara ya robo ya tatu kwa mwaka wa fedha 2022/2023 ikiwa na lengo la kukagua na  kushauri mambo mbalimbali ya utekelezwaji wa miradi hiyo ili kuahkikisha thamani ya miradi inaendana na thamani ya fedha zilizotolewa kwa miradi husika.

Wajumbe wa kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango wakiendelea na Ukaguzi wa Nyumba ya Watumishi 3/1 katika shule ya Msingi Sipa

Muonekano wa Nyumba ya watumishi 3/1 katika shule ya Msingi Itete kata ya Ifumbo

Mwenyekiti wa Halmashauri ya wilaya ya Chunya Mhe, Bosco Mwanginde akieleza jambo wakati wa ziara ya kamati ya Fedha, uongozi na Mipango

Matangazo

  • ORODHA YA WALIOITWA KWENYE MAFUNZO YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA JIMBO LA LUPA December 21, 2024
  • Tangazo la Kuitwa kwenye usaili Kazi za MUDA ZA MAKARANI NA WASIMAMIZI WA SENSA 2022 July 17, 2022
  • Orodha ya walioitwa kwenye usaili Maombi ya kazi za sensa_Chunya_2022 July 17, 2022
  • ORODHA YA MAJINA YA WALIOITWA KWENYE USAILI 2022, HALMASHAURI YA WILAYA YA CHUNYA July 22, 2022
  • Zaidi

Habari Mpya

  • ZINGATIENI WELEDI NA UFANISI KAMA MLIVYOAMINIWA

    April 29, 2025
  • MAAFISA HABARI NA WAANDISHI WA HABARI KUNOLEWA ZAIDI JUU YA AFYA YA AKILI.

    April 16, 2025
  • DC CHUNYA NA SONGWE WAPELEKA OMBI MOJA KWA WAZIRI.

    April 04, 2025
  • TARAFA YA KIPEMBAWE CHUNYA YAJIDHATITI KUWATUMIKIA WANANCHI.

    March 21, 2025
  • Zaidi

Video

BILIONI 2.2 BAJETI YA TARURA WILAYA YA CHUNYA, SERIKALI TUNASHUKURU
video zaidi

Kiunganishi cha haraka

  • HATUA ZA KUANZISHA BIASHARA
  • MIONGOZO MBALIMBALI
  • FOMU ZA HUDUMA MBALIMBALI

Tovuti Nyingine Tunazohusiana

  • OR-TAMISEMI
  • BARAZA LA MITIHANI
  • majukumu ya Mamlaka ya Serikali Mtandao na Sheria ya Serikali Mtandao kwa ujumla
  • MKOA WA MBEYA
  • WIZARA YA ELIMU SAYANSI NA TEKNOLOJIA
  • WAKALA WA SERIKALI MTANDAO

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

wasiliana nasi

    Itigi Road

    sanduku la posta: P.O box 73 Chunya

    simu ya mezani: 025 2520121

    simu ya mkononi: 025 2520121

    Barua pepe: ded@chunyadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera binafsi
    • kanusho
    • MMM
    • Ramani elekezi
    • Huduma

Copyright ©2017 Chunya District Council . All rights reserved.