• Malalamiko |
    • wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe za watumishi |
Chunya District Council
Chunya District Council

jamhuri ya muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi na Tawala za mikoa na serikali za mitaa Halmashauri ya wilaya ya Chunya

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • muundo wa Taasisi
    • Misingi Mikuu
  • Utawala
    • Mipaka ya Kiutawala
    • Idara
      • Utumishim na Utawala
      • Mipango,ufuatiliaji na Takwimu
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ujenzi
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Tehama
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Madini
  • Huduma zetu
    • Huduma za afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma ya Maji
    • Huduma za kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha, Utawala, Mipango
      • Afya, Elimu, Maji
      • Maadili
      • Ukimwi
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
      • Ratiba ya vikao
      • Mwenyekiti kuonana na Wananchi
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi ambayo haijakamilika
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Utaratibu wa kufuata
    • Ripoti
    • Sheria
    • fomu za maombi
  • kituo cha habari
    • taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba mbali mbali
    • Maktaba ya picha
    • matukio mbali mbali
    • Habari

“FEDHA ZA MIRADI ZIKASIMAMIWE VIZURI KWENYE MAENEO YETU”.

Imewekwa: April 25th, 2024

Mwenyekiti wa Halmashauri ya wilaya ya Chunya Mhe. Bosco Mwanginde amewataka madiwani na wataalam kusimamia vizuri fedha zinazotolewa kwaajili ya utekerezaji wa miradi katika maeneo yao   ili miradi hiyo iweze kuwa na tija na kuendana na thamani ya fedha kwani  kwenye ukusanyaji wa mapato Halmashauri inafanya vizuri na kutaka  fedha hizo zipelekwe kwenye  utekelezaji wa miradi  kwa maslahi ya wanachunya na Taifa kwa ujumla.

Kauli hiyo ameitoa leo 25 Aprili 2024 wakati wa Mkutano wa Baraza la Madiwani kwa robo ya Tatu uliofanyika katika Ukumbi wa mikutano wa Halmashauri ya Wilaya ya Chunya.

  “Pamoja na kufanya vizuri kwenye ukusanyaji wa mapato basi lengo iwe ni kupeleka fedha hizo kwenye miradi yetu, niombe kila mtaalam ambaye mradi unatekelezwa katika kata au kijiji basi aweze kusimamia fedha hizo vizuri na kuhakikisha mradi unakamilika, lakini pia niwaombe waheshimiwa madiwani, fedha hizi tunazozisema kwamba zimekusanywa zinakwenda kutekeleza miradi  huko kwenye maeneo yetu basi tukazisimamie ili wananchi wetu wanufaike”amesema Mhe.Mwanginde

Aidha Mhe. Mwanginde amempongeza Mkurugenzi Mtendaji na watumishi wa Halmashauri ya Wilaya ya Chunya kwa ukusanyaji mzuri wa mapato na kuvuka lengo lililokusudiwa kwa kukusanya asilimia 142 mpaka tarehe 5 April 2024.

Akizungumza katika Mkutano wa baraza la Madiwani Mkuu wa Wilaya ya Chunya Mhe.Mbarak Alhaji Batenga ameelezea mpango mkakati  wa Kuanzisha Kongani za malisho katika  tarafa ya kiwanja na kipembawe za halmashauri ya Wilaya ya Chunya mpango ambao utasaidia kutatua changomoto mbalimbali za wafugaji  hususani katika suala zima la malisho pamoja na kupunguza migogoro baina ya wakulima , wafugaji na wachimbaji.

Katibu wa Chama cha Mapinduzi  ndugu Charles Seleman   ametoa pongezi kwa Mkuu wa Wilaya ,Baraza la Madiwani na Watumishi kwa utekelezaji mzuri wa Shuguhuli  za maendeleo katika Halmashauri ya Wilaya ya Chunya pamoja na utatuzi wa kero za wananchi  na kuwataka weendelee  kutatua kero mbalimbali za wananchi katika maeneo yao  kwaajili ya kuwaletea maendeleo Wanachunya na Taifa kwa ujumla.

Akitoa shukrani kwa niaba ya madiwani Mhe. Tusalim Mwaijande Diwani wa kata ya Lualaje amekiri  kuwa wamepokea maelekezo yote kutoka kwa Mkuu wa Wilaya kwaajili ya Utekelezaji sambamba na hilo  amedhauri Madiwani kuendelea kuwaelimisha viongozi wa kata na vijiji katika maeneo ambayo  kongani za malisho zitajengwa .

Kikao cha Baraza la Madiwani robo ya tatu kimeketi leo katika Ukumbu wa MikutRT0ano Jengo Jipya la Utawala na kimehudhuriwa na Madiwani, Mkuu wa Wilaya , Katibu wa Chama cha Mapinduzi ,Wakuu wa vitengo katika halmashauri ya Wilaya ya Chunya, Wadauu kutoka taasisi mbalimbali,Vyombo vya ulinzi na usalama pamoja na waandishi wa habari 

Mwenyekiti wa Halmashauri ya wilaya ya Chunya Mhe. Bosco Mwanginde amewataka madiwani na wataalam kusimamia vizuri fedha zinazotolewa kwaajili ya utekerezaji wa miradi katika maeneo yao   ili miradi hiyo iweze kuwa na tija na pendant na thamani ya fedha kwani  kwenye ukusanyaji wa mapato Halmashauri inafanya vizuri na kutaka  fedha hizo zipelekwe kwenye  utekelezaji wa miradi  kwa maslahi ya wanachunya na Taifa kwa ujumla.

Kauli hiyo ameitoa leo 25 Aprili 2024 wakati wa Mkutano wa Baraza la Madiwani kwa robo ya Tatu uliofanyika katika Ukumbi wa mikutano wa Halmashauri ya Wilaya ya Chunya.

  “Pamoja na kufanya vizuri kwenye ukusanyaji wa mapato basi lengo iwe ni kupeleka fedha hizo kwenye miradi yetu, niombe kila mtaalam ambaye mradi unatekelezwa katika kata au kijiji basi aweze kusimamia fedha hizo vizuri na kuhakikisha mradi unakamilika, lakini pia niwaombe waheshimiwa madiwani, fedha hizi tunazozisema kwamba zimekusanywa zinakwenda kutekeleza miradi  huko kwenye maeneo yetu basi tukazisimamie ili wananchi wetu wanufaike”amesema Mhe.Mwanginde

Aidha Mhe. Mwanginde amempongeza Mkurugenzi Mtendaji na watumishi wa Halmashauri ya Wilaya ya Chunya kwa ukusanyaji mzuri wa mapato na kuvuka lengo lililokusudiwa kwa kukusanya asilimia 142 mpaka tarehe 5 April 2024.

Akizungumza katika Mkutano wa baraza la Madiwani Mkuu wa Wilaya ya Chunya Mhe.Mbarak Alhaji Batenga ameelezea mpango mkakati  wa Kuanzisha Kongani za malisho katika  tarafa ya kiwanja na kipembawe za halmashauri ya Wilaya ya Chunya mpango ambao utasaidia kutatua changomoto mbalimbali za wafugaji  hususani katika suala zima la malisho pamoja na kupunguza migogoro baina ya wakulima , wafugaji na wachimbaji.

Katibu wa Chama cha Mapinduzi  ndugu Charles Seleman   ametoa pongezi kwa Mkuu wa Wilaya ,Baraza la Madiwani na Watumishi kwa utekelezaji mzuri wa Shuguhuli  za maendeleo katika Halmashauri ya Wilaya ya Chunya pamoja na utatuzi wa kero za wananchi  na kuwataka weendelee  kutatua kero mbalimbali za wananchi katika maeneo yao  kwaajili ya kuwaletea maendeleo Wanachunya na Taifa kwa ujumla.

“Niwaombe waheshimiwa madiwani na watalaam mbalimbali tusizifuge kero za wananchi bali tukazitatue kero za wananchi tumeagizwa  kila diwani apange walau siku moja kwa wiki kusikiliza na kutatua kero za wananchi”alisema Seleman

Akitoa shukrani kwa niaba ya madiwani Mhe. Tusalim Mwaijande Diwani wa kata ya Lualaje amekiri  kuwa wamepokea maelekezo yote kutoka kwa Mkuu wa Wilaya kwaajili ya Utekelezaji sambamba na hilo  amedhauri Madiwani kuendelea kuwaelimisha viongozi wa kata na vijiji katika maeneo ambayo  kongani za malisho zitajengwa .

Kikao cha Baraza la Madiwani robo ya tatu kimeketi leo katika Ukumbu wa MikutRT0ano Jengo Jipya la Utawala na kimehudhuriwa na Madiwani, Mkuu wa Wilaya , Katibu wa Chama cha Mapinduzi ,Wakuu wa vitengo katika halmashauri ya Wilaya ya Chunya, Wadauu kutoka taasisi mbalimbali,Vyombo vya ulinzi na usalama pamoja na waandishi wa habari 

Mkuu wa Wilaya ya Chunya Mhe. Mbarak Alhaji Batenga akielezea mpango wa kuanzisha kongani za malisho katika  Halmashauri ya Wilaya ya Chunya kwenye Mkutano wa baraza la Madiwani robo ya tatu uliofanyika katika Ukumbi wa Mikutano wa Halmashauri.

Katibu wa chama cha Mapinduzi (CCM) ndugu Charles seleman akitoa salam za Chama kwenye Mkutano wa Baraza la Madiwani robo ya tatu uliofanyika katika Ukumbi wa Mikutano wa Halmashauri.


Diwani wa kata ya Lualaje Mhe. Tusalim Mwaijande akitoa neno la shukrani kwa niaba ya waheshimiwa Madiwani  kabla ya kuhailishwa kwa  Mkutano wa baraza la madiwani robo ya tatu uliofanyika katika Ukumbi wa Mikutano wa Halmashauri .


Matangazo

  • ORODHA YA WALIOITWA KWENYE MAFUNZO YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA JIMBO LA LUPA December 21, 2024
  • Tangazo la Kuitwa kwenye usaili Kazi za MUDA ZA MAKARANI NA WASIMAMIZI WA SENSA 2022 July 17, 2022
  • Orodha ya walioitwa kwenye usaili Maombi ya kazi za sensa_Chunya_2022 July 17, 2022
  • ORODHA YA MAJINA YA WALIOITWA KWENYE USAILI 2022, HALMASHAURI YA WILAYA YA CHUNYA July 22, 2022
  • Zaidi

Habari Mpya

  • ZINGATIENI WELEDI NA UFANISI KAMA MLIVYOAMINIWA

    April 29, 2025
  • MAAFISA HABARI NA WAANDISHI WA HABARI KUNOLEWA ZAIDI JUU YA AFYA YA AKILI.

    April 16, 2025
  • DC CHUNYA NA SONGWE WAPELEKA OMBI MOJA KWA WAZIRI.

    April 04, 2025
  • TARAFA YA KIPEMBAWE CHUNYA YAJIDHATITI KUWATUMIKIA WANANCHI.

    March 21, 2025
  • Zaidi

Video

BILIONI 2.2 BAJETI YA TARURA WILAYA YA CHUNYA, SERIKALI TUNASHUKURU
video zaidi

Kiunganishi cha haraka

  • HATUA ZA KUANZISHA BIASHARA
  • MIONGOZO MBALIMBALI
  • FOMU ZA HUDUMA MBALIMBALI

Tovuti Nyingine Tunazohusiana

  • OR-TAMISEMI
  • BARAZA LA MITIHANI
  • majukumu ya Mamlaka ya Serikali Mtandao na Sheria ya Serikali Mtandao kwa ujumla
  • MKOA WA MBEYA
  • WIZARA YA ELIMU SAYANSI NA TEKNOLOJIA
  • WAKALA WA SERIKALI MTANDAO

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

wasiliana nasi

    Itigi Road

    sanduku la posta: P.O box 73 Chunya

    simu ya mezani: 025 2520121

    simu ya mkononi: 025 2520121

    Barua pepe: ded@chunyadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera binafsi
    • kanusho
    • MMM
    • Ramani elekezi
    • Huduma

Copyright ©2017 Chunya District Council . All rights reserved.