• Malalamiko |
    • wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe za watumishi |
Chunya District Council
Chunya District Council

jamhuri ya muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi na Tawala za mikoa na serikali za mitaa Halmashauri ya wilaya ya Chunya

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • muundo wa Taasisi
    • Misingi Mikuu
  • Utawala
    • Mipaka ya Kiutawala
    • Idara
      • Utumishim na Utawala
      • Mipango,ufuatiliaji na Takwimu
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ujenzi
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Tehama
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Madini
  • Huduma zetu
    • Huduma za afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma ya Maji
    • Huduma za kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha, Utawala, Mipango
      • Afya, Elimu, Maji
      • Maadili
      • Ukimwi
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
      • Ratiba ya vikao
      • Mwenyekiti kuonana na Wananchi
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi ambayo haijakamilika
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Utaratibu wa kufuata
    • Ripoti
    • Sheria
    • fomu za maombi
  • kituo cha habari
    • taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba mbali mbali
    • Maktaba ya picha
    • matukio mbali mbali
    • Habari

DCMAYEKA “WEKENI MIKAKATI KUHAKIKISHA HATUSHUKI”.

Imewekwa: December 5th, 2023

Mkuu wa wilaya ya chunya Mhe. Mayeka S. Mayeka amewataka watendaji ngazi ya Halmashauri, kata na vijiji kuhakikisha wanaweka mikakati itakayopolekea kuendelea kushika nafasi ya tatu au nafasi ya kwanza katika kutekeleza afua za lishe ili kuwa na jamii yenye afya bora kwa ustawi wa Chunya na taifa kwa ujuma

Ameyasema hayo December 4, 2023 katika kikao cha tathimini ya mkataba wa lishe kilichofanyika katika ukumbi wa Mikutano wa halmashauri (Jengo jipya), chenye lengo la kupokea na kupitia utekelezaji wa tathimini ya hali ya lishe kwa kipindi cha robo ya kwanza ya mwaka wa fedha 2023/2024.

Mhe Mayeka amewataka watendaji ngazi zote kuweka mikakati zaidi na kuhakikisha nafasi waliyopata haishuki bali waendelee mbele Zaidi kuhakikisa wanapata nafasi ya pili na nafasi ya kwanza

“Naamini kwa spiriti mliyo nayo na kwakuwa tumeshaonja kuwa kwenye nafasi hizi sitarajii kama tunaweza tukatoka zaidi ya kuendelea mbele zaidi” alisema Mhe. Mayeka

Mayeka amewataka Watendaji wa kata kuyatekeleza yale yote yanayoamuliwa  katika vikao ili kuhakikisha utekelezaji wa mkataba wa lishe unafanyika kwa nguvu na kwa hari kubwa ili wasipoteze nafasi waliyopo

Kwa upande wake Mkurugenzi mtendaji wa Halmashauri ya wilaya ya Chunya ndugu Tamim Kambona amesema lengo la Halmashauri ni kutoka nafasi ya tatu waliyoishika kwa miaka miwili mfululizo na kushika nafasi ya kwanza kwa mwaka Ujao

“Tumekuwa wa tatu mwaka jana na tumekuwa wa tatu mwaka huu hatutaki tena nafasi ya tatu tunaitaka namba moja au namba mbili lakini lengo la kwangu mimi ni namba moja” alisema Kambona

Kambona amesema kuwa kwa vigezo vilivyopo katika utekelezaji wa afua za lishe wanao uwezo wa kushika nafasi ya kwanza kwa mwaka wa fedha 2023/2024, aidha ameongeza kua  kwa bajeti inayokuja Halmashauri itanunua gari kwaajili ya kutekeleza  shughuli za lishe.

“Bajeti ya mwaka huu tunayokwenda kuiandaa mweka hazina upo na afisa mipango upo tunataka tununue gari ya lishe” alisema kambona

Kikao cha tathimini ya mkataba wa lishe kimehudhuriwa na Mkuu wa Wilaya , Katibu tawala ,badhi ya Wakuu wa Idara na vitengo wa Halmashauri, Maafisa lishe ngazi ya Wilaya na  Kata pamoja na watendaji wa Kata katika wilaya ya Chunya.

Wajumbe wa kikao cha tathimini ya lishe  wakifwatilia agenda zinazoendelea katika ukumbi wa Mikutano wa Halmashauri

Mganga Mkuu wa halmashauri ya Wilaya ya Chunya ndugu Darson Andrew akimkabidhi Tuzo Mkuu wa Wilaya  ya Chunya Mhe. Mayeka S.Mayeka kama kinara wa Lishe


Matangazo

  • ORODHA YA WALIOITWA KWENYE MAFUNZO YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA JIMBO LA LUPA December 21, 2024
  • Tangazo la Kuitwa kwenye usaili Kazi za MUDA ZA MAKARANI NA WASIMAMIZI WA SENSA 2022 July 17, 2022
  • Orodha ya walioitwa kwenye usaili Maombi ya kazi za sensa_Chunya_2022 July 17, 2022
  • ORODHA YA MAJINA YA WALIOITWA KWENYE USAILI 2022, HALMASHAURI YA WILAYA YA CHUNYA July 22, 2022
  • Zaidi

Habari Mpya

  • ZINGATIENI WELEDI NA UFANISI KAMA MLIVYOAMINIWA

    April 29, 2025
  • MAAFISA HABARI NA WAANDISHI WA HABARI KUNOLEWA ZAIDI JUU YA AFYA YA AKILI.

    April 16, 2025
  • DC CHUNYA NA SONGWE WAPELEKA OMBI MOJA KWA WAZIRI.

    April 04, 2025
  • TARAFA YA KIPEMBAWE CHUNYA YAJIDHATITI KUWATUMIKIA WANANCHI.

    March 21, 2025
  • Zaidi

Video

BILIONI 2.2 BAJETI YA TARURA WILAYA YA CHUNYA, SERIKALI TUNASHUKURU
video zaidi

Kiunganishi cha haraka

  • HATUA ZA KUANZISHA BIASHARA
  • MIONGOZO MBALIMBALI
  • FOMU ZA HUDUMA MBALIMBALI

Tovuti Nyingine Tunazohusiana

  • OR-TAMISEMI
  • BARAZA LA MITIHANI
  • majukumu ya Mamlaka ya Serikali Mtandao na Sheria ya Serikali Mtandao kwa ujumla
  • MKOA WA MBEYA
  • WIZARA YA ELIMU SAYANSI NA TEKNOLOJIA
  • WAKALA WA SERIKALI MTANDAO

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

wasiliana nasi

    Itigi Road

    sanduku la posta: P.O box 73 Chunya

    simu ya mezani: 025 2520121

    simu ya mkononi: 025 2520121

    Barua pepe: ded@chunyadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera binafsi
    • kanusho
    • MMM
    • Ramani elekezi
    • Huduma

Copyright ©2017 Chunya District Council . All rights reserved.