• Malalamiko |
    • wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe za watumishi |
Chunya District Council
Chunya District Council

jamhuri ya muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi na Tawala za mikoa na serikali za mitaa Halmashauri ya wilaya ya Chunya

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • muundo wa Taasisi
    • Misingi Mikuu
  • Utawala
    • Mipaka ya Kiutawala
    • Idara
      • Utumishim na Utawala
      • Mipango,ufuatiliaji na Takwimu
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ujenzi
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Tehama
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Madini
  • Huduma zetu
    • Huduma za afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma ya Maji
    • Huduma za kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha, Utawala, Mipango
      • Afya, Elimu, Maji
      • Maadili
      • Ukimwi
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
      • Ratiba ya vikao
      • Mwenyekiti kuonana na Wananchi
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi ambayo haijakamilika
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Utaratibu wa kufuata
    • Ripoti
    • Sheria
    • fomu za maombi
  • kituo cha habari
    • taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba mbali mbali
    • Maktaba ya picha
    • matukio mbali mbali
    • Habari

DC MAYEKA, VISHIKWAMBI VYA WALIMU WALIOPO MASOMONI VIHIFADHIWE.

Imewekwa: January 26th, 2023

MKUU wa wilaya ya Chunya Mhe Mayeka Simon Mayeka amewaagiza wakuu wa Idara za Elimu Msingi na Sekondari kuhakikisha walimu walioko masomoni wanatengewa vishikwambi vyao ili watakaporejea pasitokee upungufu wowote wa vitendea kazi kwani Serikali imepanga kuwapatia vitendea kazi hivyo walimu wote

Akikabidhi vishikwambi 324 kwa walimu mapema leo ofisini kwake amewataka kuendelea kuvitunza vitendea kazi hivyo huku akisisitiza kutumiwa na watu waliokusudiwa

Mayeka amewaagiza maafisa elimu wilaya kuhakikisha wanavitunza vishikwambi vya walimu waliopo masomoni na kukabidhiwa pindi watakapo rejea kutoka masomoni

“Afisa Elimu vifaa vyao wale ambao wapo masomoni baada ya kumaliza masomo wapewe vitendea kazi hivyo, sitarajii kuona vinatumika kwa mtu ambaye siyo muhusika kwa maana asiye mwalimu” amesema Mayeka

Kwa niaba ya walimu waliokuwa wamekosa vitendea kazi hivyo wakati wa ugawaji wa awali, wameeleza furaha yao na kuishukuru serikali kuwajali na kuwarahisishia utendaji kazi wao bila kujali jinsi, elimu, nafasi au eneo analofanyia kazi mwalimu

 “Sisi kama walimu tunaweza kupata vitabu vyovyote mtandaoni, kwa jitihada hii iliyofanywa na serikali inaturahisishia sana sisi walimu katika utendaji kazi wetu na tuna ahidi tutavitumia kama ambavyo serikali imekusudia” amesema Mwalimu Omary Mkalimoto

Ikumbukwe mapema mwanzo mwa mwezi Januari Mkuu wa wilaya hiyo aliongoza zoezi la ugawaji wa vishikwambi kwa walimu ambapo vishikwambi 594 viligawiwa na leo amehitimisha zoezi hilo kwa kugawa vishikwambi 324 na kufikisha jumla ya vishikwambi 918 kama idadi ya walimu wote wilayani humo

Mkuu wa wilaya ya Chunya Mhe. Mayeka S. Mayeka wakwanza kutoka kulia akimkabidhi kishikwambi Mwalimu Omary Mkalimoto kutoka Shule ya Sekondari Kiwanja

Matangazo

  • ORODHA YA WALIOITWA KWENYE MAFUNZO YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA JIMBO LA LUPA December 21, 2024
  • Tangazo la Kuitwa kwenye usaili Kazi za MUDA ZA MAKARANI NA WASIMAMIZI WA SENSA 2022 July 17, 2022
  • Orodha ya walioitwa kwenye usaili Maombi ya kazi za sensa_Chunya_2022 July 17, 2022
  • ORODHA YA MAJINA YA WALIOITWA KWENYE USAILI 2022, HALMASHAURI YA WILAYA YA CHUNYA July 22, 2022
  • Zaidi

Habari Mpya

  • ZINGATIENI WELEDI NA UFANISI KAMA MLIVYOAMINIWA

    April 29, 2025
  • MAAFISA HABARI NA WAANDISHI WA HABARI KUNOLEWA ZAIDI JUU YA AFYA YA AKILI.

    April 16, 2025
  • DC CHUNYA NA SONGWE WAPELEKA OMBI MOJA KWA WAZIRI.

    April 04, 2025
  • TARAFA YA KIPEMBAWE CHUNYA YAJIDHATITI KUWATUMIKIA WANANCHI.

    March 21, 2025
  • Zaidi

Video

BILIONI 2.2 BAJETI YA TARURA WILAYA YA CHUNYA, SERIKALI TUNASHUKURU
video zaidi

Kiunganishi cha haraka

  • HATUA ZA KUANZISHA BIASHARA
  • MIONGOZO MBALIMBALI
  • FOMU ZA HUDUMA MBALIMBALI

Tovuti Nyingine Tunazohusiana

  • OR-TAMISEMI
  • BARAZA LA MITIHANI
  • majukumu ya Mamlaka ya Serikali Mtandao na Sheria ya Serikali Mtandao kwa ujumla
  • MKOA WA MBEYA
  • WIZARA YA ELIMU SAYANSI NA TEKNOLOJIA
  • WAKALA WA SERIKALI MTANDAO

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

wasiliana nasi

    Itigi Road

    sanduku la posta: P.O box 73 Chunya

    simu ya mezani: 025 2520121

    simu ya mkononi: 025 2520121

    Barua pepe: ded@chunyadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera binafsi
    • kanusho
    • MMM
    • Ramani elekezi
    • Huduma

Copyright ©2017 Chunya District Council . All rights reserved.