• Malalamiko |
    • wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe za watumishi |
Chunya District Council
Chunya District Council

jamhuri ya muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi na Tawala za mikoa na serikali za mitaa Halmashauri ya wilaya ya Chunya

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • muundo wa Taasisi
    • Misingi Mikuu
  • Utawala
    • Mipaka ya Kiutawala
    • Idara
      • Utumishim na Utawala
      • Mipango,ufuatiliaji na Takwimu
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ujenzi
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Tehama
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Madini
  • Huduma zetu
    • Huduma za afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma ya Maji
    • Huduma za kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha, Utawala, Mipango
      • Afya, Elimu, Maji
      • Maadili
      • Ukimwi
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
      • Ratiba ya vikao
      • Mwenyekiti kuonana na Wananchi
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi ambayo haijakamilika
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Utaratibu wa kufuata
    • Ripoti
    • Sheria
    • fomu za maombi
  • kituo cha habari
    • taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba mbali mbali
    • Maktaba ya picha
    • matukio mbali mbali
    • Habari

DC BATENGA AKABIDHIWA RASMI OFISI YA MKUU WA WILAYA YA CHUNYA

Imewekwa: December 22nd, 2023

Mkuu wa wilaya ya Chunya Mrakibu Mwandamizi wa Uhamiaji Mhe Mbarak Alhaji Batenga amesema kazi kubwa atakayofanya kwa kushirikiana na viongozi wengine waliopo wilayani Chunya ni kuhakikisha wanaenda kusikiliza kero za wananchi na kuzitatua ili wananchi wa Chunya waendelee kuiamini serikali yao

Ametoa kauli hiyo leo tarehe 22/12/2023 kwenye ofisi ya mkuu wa wilaya ya Chunya wakati alipokabidhiwa rasmi ofisi ya Mkuu wa wilaya ya Chunya na mtangulizi wake Mhe Mayeka S Mayeka ambaye amehamishiwa wilaya ya Kongwa mkoani Dodoma ambako anaenda kuwa Mkuu wa wilaya hiyo

“Kazi kubwa tuliyo nayo ni kuhakikisha watu hawalalamiki na ikitokea wananchi wanalalamika basi sisi hatujafanya kazi yetu hivyo naomba tujipange kwenda kwa wananchi kusikiliza kero zao na kuzipatia majibu ili wananchi hao waendelee kuiamini serikali waliyo ichagua”

Mhe Matenga amemtaarifu Mkurugenzi mtendaji kuwahimiza wahandisi wa Halmashauri ya wilaya ya Chunya kuhakikisha wanasimamia vizuri miradi ya maendeleo kwani moja ya maeneo yatakayopewa kipaumbele kikubwa ni utekelezaji wa miradi ya maendeleo maana serikali ya Mhe Dkt Samia Suluhu Hassan imewekeza fedha nyingin kwenye ujenzi wa miradi mbalimbali yenye lengo la kuwasogezea huduma wananchi

Awali akitoa taarifa ya wilaya ya Chunya mbele ya Mhe Batenga, aliyekuwa mkuu wa wilaya ya Chunya ambaye sasa ni mkuu wa wilaya ya Kongwa Mhe. Mayeka S Mayeka amesema viongozi wote wa wilaya ya Chunya wanaushirikiano mkubwa na bila shaka viongozi hao watampatia ushirikiano unaotakiwa mkuu wa wilaya  ili aweze kutekeleza majukumu yake ya kuwahudumia wananchi ipasavyo

“Ushirikiano uliopo kati ya Ofisi ya Mkuu wa wilaya na ofisi ya Mkurugenzi mtendaji umefanya Wilaya ya Chunya kufanya vizuri maeneo mbalimbali kimkoa na kitaifa na jambo hilo tayari tumekuabiliana kwamba nafasi ya tatu kitaifa katika utekelezaji wa mkataba wa Lishe sasa inatosha, tunatafuta nafasi ya kwanza kitaifa na hilo linawezekana kama mkishirikiana vizuri”

Makabidhino hayo ya ofisi yanakuja ikiwa ni siku chache zilizopita baada ya Mhe Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kufanya mabadiriko ya vituo vya kazi kwa wakuu wa wilaya kadhaa ambapo amembadilishia kituo cha kazi Mhe Mayeka S Mayeka  kutoka wilaya ya Chunya na kwenda wilaya ya Kongwa na pia amembadilishia kituo cha kazi Mhe Mbarak Alhaji Batenga kutoka wilaya ya Kiteto mkoani Manyara na kuja kuwa Mkuu wa wilaya ya Chunya.

Mkuu wa wilaya ya Chunya Mrakibu Mwandamizi wa Uhamiaji Mhe Mbarak Alhaji Batenga akizungumza wakati wa makabidhiano ya Ofisi ya Mkuu wa wilaya ya Chunya yaliyofanyika mapema leo

Aliyekuwa Mkuu wa wilaya ya Chunya Mhe Mayeka S Mayeka (Aliyenyoosha kidole) akizungumza Mbele ya Mkuu wa wilaya ya Chunya pamoja na kamati ya Ulinzi na usalama wakati wa makabidhiano ya ofisi mapema leo

Wajumbe wa kamati ya Ulinzi na usalama wilaya ya Chunya wakiwa kwenye picha ya pamoja baada ya kikao cha Makabidhiano ya ofisi ya Mkuu wa wilaya ya Chunya

Matangazo

  • ORODHA YA WALIOITWA KWENYE MAFUNZO YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA JIMBO LA LUPA December 21, 2024
  • Tangazo la Kuitwa kwenye usaili Kazi za MUDA ZA MAKARANI NA WASIMAMIZI WA SENSA 2022 July 17, 2022
  • Orodha ya walioitwa kwenye usaili Maombi ya kazi za sensa_Chunya_2022 July 17, 2022
  • ORODHA YA MAJINA YA WALIOITWA KWENYE USAILI 2022, HALMASHAURI YA WILAYA YA CHUNYA July 22, 2022
  • Zaidi

Habari Mpya

  • ZINGATIENI WELEDI NA UFANISI KAMA MLIVYOAMINIWA

    April 29, 2025
  • MAAFISA HABARI NA WAANDISHI WA HABARI KUNOLEWA ZAIDI JUU YA AFYA YA AKILI.

    April 16, 2025
  • DC CHUNYA NA SONGWE WAPELEKA OMBI MOJA KWA WAZIRI.

    April 04, 2025
  • TARAFA YA KIPEMBAWE CHUNYA YAJIDHATITI KUWATUMIKIA WANANCHI.

    March 21, 2025
  • Zaidi

Video

BILIONI 2.2 BAJETI YA TARURA WILAYA YA CHUNYA, SERIKALI TUNASHUKURU
video zaidi

Kiunganishi cha haraka

  • HATUA ZA KUANZISHA BIASHARA
  • MIONGOZO MBALIMBALI
  • FOMU ZA HUDUMA MBALIMBALI

Tovuti Nyingine Tunazohusiana

  • OR-TAMISEMI
  • BARAZA LA MITIHANI
  • majukumu ya Mamlaka ya Serikali Mtandao na Sheria ya Serikali Mtandao kwa ujumla
  • MKOA WA MBEYA
  • WIZARA YA ELIMU SAYANSI NA TEKNOLOJIA
  • WAKALA WA SERIKALI MTANDAO

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

wasiliana nasi

    Itigi Road

    sanduku la posta: P.O box 73 Chunya

    simu ya mezani: 025 2520121

    simu ya mkononi: 025 2520121

    Barua pepe: ded@chunyadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera binafsi
    • kanusho
    • MMM
    • Ramani elekezi
    • Huduma

Copyright ©2017 Chunya District Council . All rights reserved.