• Malalamiko |
    • wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe za watumishi |
Chunya District Council
Chunya District Council

jamhuri ya muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi na Tawala za mikoa na serikali za mitaa Halmashauri ya wilaya ya Chunya

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • muundo wa Taasisi
    • Misingi Mikuu
  • Utawala
    • Mipaka ya Kiutawala
    • Idara
      • Utumishim na Utawala
      • Mipango,ufuatiliaji na Takwimu
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ujenzi
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Tehama
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Madini
  • Huduma zetu
    • Huduma za afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma ya Maji
    • Huduma za kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha, Utawala, Mipango
      • Afya, Elimu, Maji
      • Maadili
      • Ukimwi
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
      • Ratiba ya vikao
      • Mwenyekiti kuonana na Wananchi
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi ambayo haijakamilika
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Utaratibu wa kufuata
    • Ripoti
    • Sheria
    • fomu za maombi
  • kituo cha habari
    • taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba mbali mbali
    • Maktaba ya picha
    • matukio mbali mbali
    • Habari

CHUNYA YAZINDUA KAMPENI YA UPANDAJI MITI.

Imewekwa: February 15th, 2022

Afisa tawala wa wilaya ya Chunya Bi. Semwano Mlawa kwa niaba ya Mkuu wa Wilaya ya Chunya amezindua rasmi kampeni ya upandaji miti kiwilaya.

Zoezi hili limefanyika leo Februari 15, 2022 katika Shule ya Msingi Chunya Kati iliyopo kijiji cha Sijilili, kata ya Itewe huku ikiongozwa na kauli Mbiu isemayo, TANZANIA YA KIJANI INAWEZEKANA PANDA MITI KWA MAENDELEO ENDELEVU

Upandaji huo wa miti ni njia ya kutunza mazingira ikiwa ni pamoja na kukabiliana na mabadiliko ya tabia nchi yanayosababishwa hasa na ukataji wa miti unaopelekea kukosekana kwa mvua za kutosha hivyo kuathiri shughuli za maendeleo kwa wananchi.

“Ni vyema tushirikiane kwa pamoja kuchukua hatua kwa wanaoharibu mazingira, na sio kumuachia mtu au taasisi inayohusika na utunzaji wa mazingira, ni jukumu la kila mmoja wetu ikiwemo wananchi kulinda mazingira yetu.” Alisema Bi Semwano Afisa Tawala wilaya ya Chunya

Akisoma risala, Afisa Maliasili wa Wilaya ya Chunya Bi. Rehema P. Mwabulambo amesema, pamoja na wito wa upandaji miti bado kuna uharibifu mkubwa wa mazingira unaotokana na ukataji wa miti na cchomaji moto ovyo.

Aidha aliongeza kwa kusema, Halmashauri ya Wilaya ya Chunya kupitia kampeni hii imefanikiwa kupanda miti kwa wastani wa hekta 200 – 250 wilaya nzima kwa mwaka.

Naye Kaimu Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Chunya, Bw. Cuthbert Mwinuka amesema, zoezi la upandaji miti kwa Wilaya ya Chunya tayari ilishaanza kwa tarafa zote mbili za wilaya hiyo.

“Upandaji wa miti kwa Halmashauri ulianza tangu mvua za mwanzo zilipoanza kunyesha na ni zoezi enedevu,” alisema Mwinuka.

Uzinduzi huo ulihudhuriwa na Kamati ya Ulinzi na Usalama ya Wilaya ya Chunya, Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Chunya, pamoja na wakuu wa idara na vitengo wa Halmashauri.

Afisa Tawala wa Wilaya ya Chunya Bi Semwano  akishiriki kupanda mti katika eneo la shule ya msingi Chunya kati.

Afisa Utumishi wa Halmashauri ya wilaya ya Chunya Bw Filex Maholani akishiriki kupanda mti katika eneo la shule ya msingi Chunya Kati

Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya wilaya ya Chunya Bw. Cuthbert Mwinuka akishiriki kupanda mti katika eneo la shule ya msingi Chunya Kati.

Matangazo

  • ORODHA YA WALIOITWA KWENYE MAFUNZO YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA JIMBO LA LUPA December 21, 2024
  • Tangazo la Kuitwa kwenye usaili Kazi za MUDA ZA MAKARANI NA WASIMAMIZI WA SENSA 2022 July 17, 2022
  • Orodha ya walioitwa kwenye usaili Maombi ya kazi za sensa_Chunya_2022 July 17, 2022
  • ORODHA YA MAJINA YA WALIOITWA KWENYE USAILI 2022, HALMASHAURI YA WILAYA YA CHUNYA July 22, 2022
  • Zaidi

Habari Mpya

  • ZINGATIENI WELEDI NA UFANISI KAMA MLIVYOAMINIWA

    April 29, 2025
  • MAAFISA HABARI NA WAANDISHI WA HABARI KUNOLEWA ZAIDI JUU YA AFYA YA AKILI.

    April 16, 2025
  • DC CHUNYA NA SONGWE WAPELEKA OMBI MOJA KWA WAZIRI.

    April 04, 2025
  • TARAFA YA KIPEMBAWE CHUNYA YAJIDHATITI KUWATUMIKIA WANANCHI.

    March 21, 2025
  • Zaidi

Video

BILIONI 2.2 BAJETI YA TARURA WILAYA YA CHUNYA, SERIKALI TUNASHUKURU
video zaidi

Kiunganishi cha haraka

  • HATUA ZA KUANZISHA BIASHARA
  • MIONGOZO MBALIMBALI
  • FOMU ZA HUDUMA MBALIMBALI

Tovuti Nyingine Tunazohusiana

  • OR-TAMISEMI
  • BARAZA LA MITIHANI
  • majukumu ya Mamlaka ya Serikali Mtandao na Sheria ya Serikali Mtandao kwa ujumla
  • MKOA WA MBEYA
  • WIZARA YA ELIMU SAYANSI NA TEKNOLOJIA
  • WAKALA WA SERIKALI MTANDAO

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

wasiliana nasi

    Itigi Road

    sanduku la posta: P.O box 73 Chunya

    simu ya mezani: 025 2520121

    simu ya mkononi: 025 2520121

    Barua pepe: ded@chunyadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera binafsi
    • kanusho
    • MMM
    • Ramani elekezi
    • Huduma

Copyright ©2017 Chunya District Council . All rights reserved.