• Malalamiko |
    • wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe za watumishi |
Chunya District Council
Chunya District Council

jamhuri ya muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi na Tawala za mikoa na serikali za mitaa Halmashauri ya wilaya ya Chunya

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • muundo wa Taasisi
    • Misingi Mikuu
  • Utawala
    • Mipaka ya Kiutawala
    • Idara
      • Utumishim na Utawala
      • Mipango,ufuatiliaji na Takwimu
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ujenzi
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Tehama
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Madini
  • Huduma zetu
    • Huduma za afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma ya Maji
    • Huduma za kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha, Utawala, Mipango
      • Afya, Elimu, Maji
      • Maadili
      • Ukimwi
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
      • Ratiba ya vikao
      • Mwenyekiti kuonana na Wananchi
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi ambayo haijakamilika
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Utaratibu wa kufuata
    • Ripoti
    • Sheria
    • fomu za maombi
  • kituo cha habari
    • taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba mbali mbali
    • Maktaba ya picha
    • matukio mbali mbali
    • Habari

CHUNYA YAZIBULUZA HALMASHAURI ZOTE MBEYA UKUSANYAJI WA MAPATO

Imewekwa: February 29th, 2024

Halmashauri ya wilaya ya Chunya imeendeleza kuziongoza Halmashauri za Mkoa wa Mbeya katika ukusanyaji wa Mapato kwa tofauti ya zaidi ya asilimia arobaini (40%) baada ya kukusanya shilingi bilioni 7.3 sawa na asilimia 133 kwa kipindi cha Kuanzia julai mosi mpaka tarehe 23 februali 2024 huku Halmashauri ambayo inafuatia ikiwa na asilimia 90 ya makusanyo.

Kwa mujibu wa takwimu zilizotolewa na ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Mbeya juu ya mwenendo wa ukusanyaji wa mapato ya ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mbeya kuanzia julai mosi 2023 mpaka februali 23 Halmashauri ya wilaya ya Chunya kwa kipindi chote cha mwaka huu imeendelea kuongoza na kwa sasa inaongoza kwa tofauti ya asilimia arobaini (40%).

Mkurugenzi mtendaji wa Halmashauri ya wilaya ya Chunya amekuwa kinara wa kuhimiza watumishi anaowaongoza kufanya kazi kwa weledi, kujituma na kwa uzalendo huku akiwataka kuheshimiana, kuheshimu kanuni na taratibu za utumishi wa umma jambo ambalo limekuwa chachu kubwa ya mafanikio ya Halmashauri ya wilaya ya Chunya katika Nyanja mbalimbali ikiwepo ukusanyaji wa Mapato

Halmashauri ya wilaya ya Chunya itaendelea kuongoza Mkoa wa Mbeya katika ukusanyaji wa Mapato hata mwaka ujao yaani 2024/2025 kutoka hali ya zao la Tumbaku kuwa ya Kuvutia na kuridhisha Mashambani jambo linalotoa taswira ya Mafanikio makubwa ya mavuno ukilinganisha na mwaka jana yaani 2023/2024 ambapo Halmashauri ya wilaya ilikusanya Zaidi ya shilingi bilioni mbili kutokana na kilimo cha Tumbaku

Aidha kutokana na makusanyo yanayotokana na vyanzo mbalimbali vya mapato Halmashauri ya wilaya imekuwa ikitekeleza miradi mbalimbali kupitia mapato yake ya Ndani, miradi hiyo ni pamoja na Ujenzi wa Shule ya Mchepuo wa Kiingeleza, Ujenzi wa Kituo cha afya sangambi na miradi mingine hivyo kuendelea kuimarika katika ukusanyaji wa mapato ni ishara tosha ya mwendelezo wa ujenzi wa miradi zaidi ya maendeleo katika Halmashauri ya wilaya ya Chunya ili kuendela kutatua changamoto mbalimbali zinazo wakabili wananchi katika maeneo yao

Halmashauri ya wilaya ya Chunya ilikadiliwa kukusanya shilingi bilioni 5.54 katika kipindi cha mwaka 2023/2024 lakini mapaka kipindi cha februari 23 mwaka 2024 ikiwa ni pungufu ya miezi 4 kufikia kipindi kilichokusudiwa Halmashauri ya wilaya ya Chunya  tayari imekusanya shilingi bilioni 7.35 sawa na asilimia 133 ya lengo lililokusudiwa na kwa kiwango hicho Halmashauri ya wilaya ya Chunya imezizidi Halmashauri nyingine za mkoa wa Mbeya kwa tofauti ya zaidi ya asilimia arobaini (40%)

Wanachi mnaaswa kuendelea kuiamini na kuiunga mkoa Serikali ya awamu ya sita inayoongozwa na Mhe Dkt Samia Suluhu Hassan ambapo kwa wilaya ya Chunya viongozi waliopo kila mmoja kwa nafasi yake wanamsaidia vyema Mhe Rais katika kuwaletea maendelea wananchi wake lakini pia shilikianane na viongozi hao ili kuijenga Chunya mnayoihitaji

Hali ya zao la Tumbaku kwa msimu huu wa kilimo katika mashamba mbalimbali katika mkoa wa Kitumbaku Chunya

Wakulima wakiwa katika ufungaji wa Tumbaku tayari kwa kuikausha baada ya kuivuna kutoka Mashambani wilayani Chunya katika msimu huu wa kilimo

Tumbaki ikiwa imekausha na imefungwa tayari kwa kupelekwa sokoni ili kuuzwa na hatimaye Mkulima wa wilaya ya Chunya aanze kupata matunda ya kazi yake ya kilimo

Matangazo

  • ORODHA YA WALIOITWA KWENYE MAFUNZO YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA JIMBO LA LUPA December 21, 2024
  • Tangazo la Kuitwa kwenye usaili Kazi za MUDA ZA MAKARANI NA WASIMAMIZI WA SENSA 2022 July 17, 2022
  • Orodha ya walioitwa kwenye usaili Maombi ya kazi za sensa_Chunya_2022 July 17, 2022
  • ORODHA YA MAJINA YA WALIOITWA KWENYE USAILI 2022, HALMASHAURI YA WILAYA YA CHUNYA July 22, 2022
  • Zaidi

Habari Mpya

  • ZINGATIENI WELEDI NA UFANISI KAMA MLIVYOAMINIWA

    April 29, 2025
  • MAAFISA HABARI NA WAANDISHI WA HABARI KUNOLEWA ZAIDI JUU YA AFYA YA AKILI.

    April 16, 2025
  • DC CHUNYA NA SONGWE WAPELEKA OMBI MOJA KWA WAZIRI.

    April 04, 2025
  • TARAFA YA KIPEMBAWE CHUNYA YAJIDHATITI KUWATUMIKIA WANANCHI.

    March 21, 2025
  • Zaidi

Video

BILIONI 2.2 BAJETI YA TARURA WILAYA YA CHUNYA, SERIKALI TUNASHUKURU
video zaidi

Kiunganishi cha haraka

  • HATUA ZA KUANZISHA BIASHARA
  • MIONGOZO MBALIMBALI
  • FOMU ZA HUDUMA MBALIMBALI

Tovuti Nyingine Tunazohusiana

  • OR-TAMISEMI
  • BARAZA LA MITIHANI
  • majukumu ya Mamlaka ya Serikali Mtandao na Sheria ya Serikali Mtandao kwa ujumla
  • MKOA WA MBEYA
  • WIZARA YA ELIMU SAYANSI NA TEKNOLOJIA
  • WAKALA WA SERIKALI MTANDAO

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

wasiliana nasi

    Itigi Road

    sanduku la posta: P.O box 73 Chunya

    simu ya mezani: 025 2520121

    simu ya mkononi: 025 2520121

    Barua pepe: ded@chunyadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera binafsi
    • kanusho
    • MMM
    • Ramani elekezi
    • Huduma

Copyright ©2017 Chunya District Council . All rights reserved.