• Malalamiko |
    • wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe za watumishi |
Chunya District Council
Chunya District Council

jamhuri ya muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi na Tawala za mikoa na serikali za mitaa Halmashauri ya wilaya ya Chunya

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • muundo wa Taasisi
    • Misingi Mikuu
  • Utawala
    • Mipaka ya Kiutawala
    • Idara
      • Utumishim na Utawala
      • Mipango,ufuatiliaji na Takwimu
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ujenzi
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Tehama
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Madini
  • Huduma zetu
    • Huduma za afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma ya Maji
    • Huduma za kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha, Utawala, Mipango
      • Afya, Elimu, Maji
      • Maadili
      • Ukimwi
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
      • Ratiba ya vikao
      • Mwenyekiti kuonana na Wananchi
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi ambayo haijakamilika
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Utaratibu wa kufuata
    • Ripoti
    • Sheria
    • fomu za maombi
  • kituo cha habari
    • taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba mbali mbali
    • Maktaba ya picha
    • matukio mbali mbali
    • Habari

CHUNYA YAREJEA KWENYE NAFASI YAKE YA KWANZA KATIKA UKUSANYAJI WA MAPATO MKOANI MBEYA

Imewekwa: October 10th, 2023

Halmashauri ya wilaya ya Chunya Chini ya viongozi wake Mahiri imerejea katika nafasi yake ya kwanza katika ukusanyaji wa Mapato mkoani Mbeya kwa kipindi cha Robo ya kwanza ya mwaka wa fedha 2023/2024 jambo ambalo kwa wilaya ya Chunya kwake ni kawaida kushika nafasi hiyo na kwa umahiri wa viongozi wake wilaya ya Chunya hakuna nafasi ya kurudi nyuma.


Serikali imekuwa na kawaida ya kutoa taarifa kwa wananchi wake juu ya mwenendo wa mambo mbalimbali yanayotekelezwa ili waweza kufahamu kinachofanywa na serikali waliyoiamini ambayo kwa sasa ni awamu ya sita ikiongozwa na Rais Mhe Dkt Samia Suluhu Hassan ambaye amejibainisha wazi kwamba ni Rais anayetaka uwazi na uwajibikaji kwa kila mtu kulingana na nafasi yake.


Wilaya ya Chunya Chini ya viongozi wake Mkuu wa wilaya Mhe Mayeka S. Mayeka, Mwenyekiti wa Halmashauri ya wilaya ya Chunya Mhe Bosco S. Mwanginde, Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya wilaya ya Chunya Ndugu Tamim H. Kambona Pamoja na Mbunge wa Jimbo la Lupa wamekuwa wakishirkiana kwa ukaribu kuhakikisha kila linalotekelzwa Chunya linafanikiwa kwa kiwango kinachotakiwa na Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.


Ikumbukwe hivi karibuni Halmashauri ya wilaya ya Chunya imeongoza mkoa wa Mbeya kutekeleza zoezi la Chanjo ya Polia kwa zaidi ya asilimia mia moja na sitini (160%) na kufanikiwa kuziacha mbali halmashauri nyingine lakini pia ni hivi karibu wilaya ya Chunya imeshika nafasi ya Tatu kitaifa kutekeleza mkataba wa lishe kwa wananchi wake hivyo Chunya nafasi ya kwanza katika ngazi ya Mkoa sasa ni kawaida.


Kwa usimamizi mzuri toka kwa viongozi wa Halmashauri ya wilaya ya Chunya, ushirikiano kwa watumishi pamoja na uwajibikaji kwa kila mtu kulingana na nafasi yake ndani ya Halmashauri ya wilaya ya Chunya ni hakika Chunya itaendelea kufanya vizuri Maeneo yote ndani ya Mkoa na hata ngazi ya Taifa.


Wananchi endeleeni kuiamini serikali ya awamu ya sita ili iendelee kutekeleza azma yake ya kuwatumikia wananchi wa wilaya ya Chunya na Watanzania wote kwa ujumla na msiache kulipa kodi na kufanya kazi za haki kama ambavyo serikali ya awamu ya sita chini ya Rais Samia Suluhu Hassan inavyotaka wananchunya tuishi.

Matangazo

  • ORODHA YA WALIOITWA KWENYE MAFUNZO YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA JIMBO LA LUPA December 21, 2024
  • Tangazo la Kuitwa kwenye usaili Kazi za MUDA ZA MAKARANI NA WASIMAMIZI WA SENSA 2022 July 17, 2022
  • Orodha ya walioitwa kwenye usaili Maombi ya kazi za sensa_Chunya_2022 July 17, 2022
  • ORODHA YA MAJINA YA WALIOITWA KWENYE USAILI 2022, HALMASHAURI YA WILAYA YA CHUNYA July 22, 2022
  • Zaidi

Habari Mpya

  • ZINGATIENI WELEDI NA UFANISI KAMA MLIVYOAMINIWA

    April 29, 2025
  • MAAFISA HABARI NA WAANDISHI WA HABARI KUNOLEWA ZAIDI JUU YA AFYA YA AKILI.

    April 16, 2025
  • DC CHUNYA NA SONGWE WAPELEKA OMBI MOJA KWA WAZIRI.

    April 04, 2025
  • TARAFA YA KIPEMBAWE CHUNYA YAJIDHATITI KUWATUMIKIA WANANCHI.

    March 21, 2025
  • Zaidi

Video

BILIONI 2.2 BAJETI YA TARURA WILAYA YA CHUNYA, SERIKALI TUNASHUKURU
video zaidi

Kiunganishi cha haraka

  • HATUA ZA KUANZISHA BIASHARA
  • MIONGOZO MBALIMBALI
  • FOMU ZA HUDUMA MBALIMBALI

Tovuti Nyingine Tunazohusiana

  • OR-TAMISEMI
  • BARAZA LA MITIHANI
  • majukumu ya Mamlaka ya Serikali Mtandao na Sheria ya Serikali Mtandao kwa ujumla
  • MKOA WA MBEYA
  • WIZARA YA ELIMU SAYANSI NA TEKNOLOJIA
  • WAKALA WA SERIKALI MTANDAO

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

wasiliana nasi

    Itigi Road

    sanduku la posta: P.O box 73 Chunya

    simu ya mezani: 025 2520121

    simu ya mkononi: 025 2520121

    Barua pepe: ded@chunyadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera binafsi
    • kanusho
    • MMM
    • Ramani elekezi
    • Huduma

Copyright ©2017 Chunya District Council . All rights reserved.