• Malalamiko |
    • wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe za watumishi |
Chunya District Council
Chunya District Council

jamhuri ya muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi na Tawala za mikoa na serikali za mitaa Halmashauri ya wilaya ya Chunya

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • muundo wa Taasisi
    • Misingi Mikuu
  • Utawala
    • Mipaka ya Kiutawala
    • Idara
      • Utumishim na Utawala
      • Mipango,ufuatiliaji na Takwimu
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ujenzi
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Tehama
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Madini
  • Huduma zetu
    • Huduma za afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma ya Maji
    • Huduma za kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha, Utawala, Mipango
      • Afya, Elimu, Maji
      • Maadili
      • Ukimwi
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
      • Ratiba ya vikao
      • Mwenyekiti kuonana na Wananchi
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi ambayo haijakamilika
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Utaratibu wa kufuata
    • Ripoti
    • Sheria
    • fomu za maombi
  • kituo cha habari
    • taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba mbali mbali
    • Maktaba ya picha
    • matukio mbali mbali
    • Habari

CHUNYA YAKUSANYA MAPATO YA MWAKA MZIMA KWA MIEZI SITA

Imewekwa: December 12th, 2023

Halmashauri ya wilaya ya Chunya imeendelea kuongoza mkoa wa Mbeya kwenye ukusanyaji wa mapato ambapo kwa sasa imefikia asilimia tisini na nane (98%) ya makusanyo ya mapato kulingana na makadirio yaliyokuwa yamewekwa hivyo kubakiza asilimia mbili ya makusanyo kufikia lengo la makadirio ya makusanyo kwa mwaka

Kwa mujibu wa Taarifa zilizotolewa na Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Mbeya kuhusu Mwenendo wa ukuanyaji wa mapato ya Halmashauri za Mkoa wa Mbeya kuanzia tarehe 1 Julai mpaka tarehe 8 Desemba Halmashauri ya wilaya ya Chunya imekusanya asilimia tisini na nane (98%) ya Lengo la makusanyo  ya mwaka 2023/2024 ambapo imekusanya  bilioni 5.4 wakati ilipangiwa kukusanya bilioni 5.5

Aidha Halmashauri ya wilaya ya Chunya itaendelea kufanya vizuri katika maeneo mbalimbali kwasababu ushirikiano uliopo kwa viongozi wote wa wilaya ya Chunya ukianzia ofisi ya Mkuu wa wilaya ya Chunya, Ofisi ya Mwenyekiti wa Halmashauri ya Chunya, akiwawakilisha Madiwani wote wa Halmashauri ya wilaya ya Chunya, Ofisi ya Mbunge wa Jimbo la Lupa, Ofisi ya Mkurugenzi mtendaji pamoja na watumishi wote kwa ujumla umeimarika, Lakini pia usimamizi makini wa Chama Cha Mapinduzi unasaidia sana wilaya ya Chunya kufanya vizuri

Kwa kipindi cha Julai mosi mpaka Desemba 8, 2023 Halmashauri ya wilaya ya Chunya imekusanya shilingi bilioni tano na milioni mia nne na tano elfu laki nane na kumi na mia nane themanini na sita na sent tisini na nane (5,405,810.886.98) ambayo ni sawa na asilimia tisini na nane (98%) wakati ilikusudiwa kukusanya shilingi  bilioni tano milioni mia tano arobaini na tatu laki tatu na hamsini na nane elfu (5,543,358,000.00)

Halmashauri ya wilaya ya Chunya imejipanga kuendelea kufanya vizuri maeneo mbalimbali kuanzia ngazi ya Mkoa na kitaifa na jambo hilo limekuwa likipewa msisitizo katika vikao mbalimbali na hata wananchi wa wilaya ya Chunya hushirikishwa ipasavyo jambo litakaloendelea kuwapa nafasi Halmashauri ya wilaya ya Chunya kufanya vizuri maeneo mbalimbali

Kupitia mapato yanayokusanywa na Halmashauri ya wilaya ya Chunya hupelekea utekelezaji wa miradi mbalimbali ya maendeleo kwenye kata na Vijiji mbalimbali vya wilaya ya Chunya, Mfano wa Miradi iliyotekelezwa kwa mapato ya Ndani ni pamoja na ujenzi wa Kituo cha Afya Sangambi, Ujenzi wa Soko la Madini, Ujenzi wa Shule ya mchepuo wa kiingereza Chunya na miradi mingine mingi hivyo wananchi wa Chunya waendelee kushiriki katika ukusanyaji wa mapato ili mabadiriko makubwa ya utekelezaji wa miradi kupitia fedha zinazokusanywa.

Matangazo

  • ORODHA YA WALIOITWA KWENYE MAFUNZO YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA JIMBO LA LUPA December 21, 2024
  • Tangazo la Kuitwa kwenye usaili Kazi za MUDA ZA MAKARANI NA WASIMAMIZI WA SENSA 2022 July 17, 2022
  • Orodha ya walioitwa kwenye usaili Maombi ya kazi za sensa_Chunya_2022 July 17, 2022
  • ORODHA YA MAJINA YA WALIOITWA KWENYE USAILI 2022, HALMASHAURI YA WILAYA YA CHUNYA July 22, 2022
  • Zaidi

Habari Mpya

  • ZINGATIENI WELEDI NA UFANISI KAMA MLIVYOAMINIWA

    April 29, 2025
  • MAAFISA HABARI NA WAANDISHI WA HABARI KUNOLEWA ZAIDI JUU YA AFYA YA AKILI.

    April 16, 2025
  • DC CHUNYA NA SONGWE WAPELEKA OMBI MOJA KWA WAZIRI.

    April 04, 2025
  • TARAFA YA KIPEMBAWE CHUNYA YAJIDHATITI KUWATUMIKIA WANANCHI.

    March 21, 2025
  • Zaidi

Video

BILIONI 2.2 BAJETI YA TARURA WILAYA YA CHUNYA, SERIKALI TUNASHUKURU
video zaidi

Kiunganishi cha haraka

  • HATUA ZA KUANZISHA BIASHARA
  • MIONGOZO MBALIMBALI
  • FOMU ZA HUDUMA MBALIMBALI

Tovuti Nyingine Tunazohusiana

  • OR-TAMISEMI
  • BARAZA LA MITIHANI
  • majukumu ya Mamlaka ya Serikali Mtandao na Sheria ya Serikali Mtandao kwa ujumla
  • MKOA WA MBEYA
  • WIZARA YA ELIMU SAYANSI NA TEKNOLOJIA
  • WAKALA WA SERIKALI MTANDAO

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

wasiliana nasi

    Itigi Road

    sanduku la posta: P.O box 73 Chunya

    simu ya mezani: 025 2520121

    simu ya mkononi: 025 2520121

    Barua pepe: ded@chunyadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera binafsi
    • kanusho
    • MMM
    • Ramani elekezi
    • Huduma

Copyright ©2017 Chunya District Council . All rights reserved.