• Malalamiko |
    • wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe za watumishi |
Chunya District Council
Chunya District Council

jamhuri ya muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi na Tawala za mikoa na serikali za mitaa Halmashauri ya wilaya ya Chunya

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • muundo wa Taasisi
    • Misingi Mikuu
  • Utawala
    • Mipaka ya Kiutawala
    • Idara
      • Utumishim na Utawala
      • Mipango,ufuatiliaji na Takwimu
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ujenzi
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Tehama
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Madini
  • Huduma zetu
    • Huduma za afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma ya Maji
    • Huduma za kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha, Utawala, Mipango
      • Afya, Elimu, Maji
      • Maadili
      • Ukimwi
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
      • Ratiba ya vikao
      • Mwenyekiti kuonana na Wananchi
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi ambayo haijakamilika
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Utaratibu wa kufuata
    • Ripoti
    • Sheria
    • fomu za maombi
  • kituo cha habari
    • taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba mbali mbali
    • Maktaba ya picha
    • matukio mbali mbali
    • Habari

CHUNYA YAJIPANGA KULIPA STAHIKI ZA WATUMISHI KWA WAKATI

Imewekwa: August 29th, 2024

Mbunge wa Jimbo la Lupa Mhe Masache Njeru Kasaka amewata viongozi wa Halmashauri kuhakikisha wanatumia vizuri vifungu vinavyotakiwa kulipa stahiki mbalimbali za watumishi kuepuka kuisha au kubasti kwa vifungu hivyo jambo linalopelekea Halmashauri kushindwa kuwalipa watumishi wake wanapohitaji kulipwa jambo linaloongeza madeni kwa Halmashauri.

Ametoa kauli hiyo mapema tarehe 27/8/2024 wakati akitoa salamu  kwenye kikao cha Baraza la Madiwani liloketi kujadili na kupitisha hesabu za mwisho wa mwaka 2023/2024 za Halmashauri ya wilaya ya Chunya kilichoketi kwenye ukumbi wa Mikutano wa Halmashauri uliopo jingo jipya la utawala.

“Tunatakiwa kujipanga kuona vipengele vyakulipa madeni havibust na kuweza kulipa malipo mbalimbali” alisema Kasaka.

Aidha Mhe. Kasaka aliongeza kuwa mambo mazuri yanayotokea ndani ya Halmashauri ya wilaya ya Chunya ni utekelezaji mzuri wa ilani ya Chama cha Mapinduzi huku akisema usimamizi mzuri wa Mwenyekiti wa Halmashauri  pamoja na ushirikiano uliopo baina ya waheshimiwa Madiwani na Wataalam.

Pia Mhe Masache aliungana na kamati ya kudumu ya Bunge ya Hesabu za Serikali za mitaa (LAAC) kuipongeza Halmashauri ya Wilaya ya Chunya kwa maendeleo makubwa yaliyopo kwenye Wilaya hiyo.

“Mwanzoni wa mwezi Agosti, LAAC ilifanya kikao chake, pamoja na mambo mengine imeipongeza Halmashauri ya Wilaya ya Chunya kwa kufanya vizuri kwenye ukusanya wa mapato na matumizi ya fedha za mapato hayo” alisema Kasaka.

Baraza la kujadili na kupitisha hesabu za mwisho za mwaka 2023/2024 za Halmashauri limehudhuriwa na Mkuu wa Wilaya, Mbunge, Waheshimiwa Madiwani, Wataalam mbalimbali kutoka Halmashaui ,Wakuu wa Taasisi na Waandishi wa Habari.

Mbunge wa Jimbo la Lupa Mhe Masache Njeru Kasaka akizungumza Jambo wakati wa Baraza la kupitia hesabu za mwaka wa fedha 2023/2024 lililoketi mapema tarehe 27/08/2024 kwenye ukumbi wa mikutano wa Halmashauri ya wilaya ya Chunya uliopo jengo jipya la wilaya ya Chunya

Matangazo

  • ORODHA YA WALIOITWA KWENYE MAFUNZO YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA JIMBO LA LUPA December 21, 2024
  • Tangazo la Kuitwa kwenye usaili Kazi za MUDA ZA MAKARANI NA WASIMAMIZI WA SENSA 2022 July 17, 2022
  • Orodha ya walioitwa kwenye usaili Maombi ya kazi za sensa_Chunya_2022 July 17, 2022
  • ORODHA YA MAJINA YA WALIOITWA KWENYE USAILI 2022, HALMASHAURI YA WILAYA YA CHUNYA July 22, 2022
  • Zaidi

Habari Mpya

  • ZINGATIENI WELEDI NA UFANISI KAMA MLIVYOAMINIWA

    April 29, 2025
  • MAAFISA HABARI NA WAANDISHI WA HABARI KUNOLEWA ZAIDI JUU YA AFYA YA AKILI.

    April 16, 2025
  • DC CHUNYA NA SONGWE WAPELEKA OMBI MOJA KWA WAZIRI.

    April 04, 2025
  • TARAFA YA KIPEMBAWE CHUNYA YAJIDHATITI KUWATUMIKIA WANANCHI.

    March 21, 2025
  • Zaidi

Video

BILIONI 2.2 BAJETI YA TARURA WILAYA YA CHUNYA, SERIKALI TUNASHUKURU
video zaidi

Kiunganishi cha haraka

  • HATUA ZA KUANZISHA BIASHARA
  • MIONGOZO MBALIMBALI
  • FOMU ZA HUDUMA MBALIMBALI

Tovuti Nyingine Tunazohusiana

  • OR-TAMISEMI
  • BARAZA LA MITIHANI
  • majukumu ya Mamlaka ya Serikali Mtandao na Sheria ya Serikali Mtandao kwa ujumla
  • MKOA WA MBEYA
  • WIZARA YA ELIMU SAYANSI NA TEKNOLOJIA
  • WAKALA WA SERIKALI MTANDAO

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

wasiliana nasi

    Itigi Road

    sanduku la posta: P.O box 73 Chunya

    simu ya mezani: 025 2520121

    simu ya mkononi: 025 2520121

    Barua pepe: ded@chunyadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera binafsi
    • kanusho
    • MMM
    • Ramani elekezi
    • Huduma

Copyright ©2017 Chunya District Council . All rights reserved.