• Malalamiko |
    • wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe za watumishi |
Chunya District Council
Chunya District Council

jamhuri ya muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi na Tawala za mikoa na serikali za mitaa Halmashauri ya wilaya ya Chunya

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • muundo wa Taasisi
    • Misingi Mikuu
  • Utawala
    • Mipaka ya Kiutawala
    • Idara
      • Utumishim na Utawala
      • Mipango,ufuatiliaji na Takwimu
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ujenzi
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Tehama
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Madini
  • Huduma zetu
    • Huduma za afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma ya Maji
    • Huduma za kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha, Utawala, Mipango
      • Afya, Elimu, Maji
      • Maadili
      • Ukimwi
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
      • Ratiba ya vikao
      • Mwenyekiti kuonana na Wananchi
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi ambayo haijakamilika
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Utaratibu wa kufuata
    • Ripoti
    • Sheria
    • fomu za maombi
  • kituo cha habari
    • taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba mbali mbali
    • Maktaba ya picha
    • matukio mbali mbali
    • Habari

CHUNYA KINARA CHANJO YA POLIO MKOANI MBEYA

Imewekwa: September 27th, 2023

Halmashauri ya wilaya ya Chunya imechomoza kinara katika Mkoa wa Mbeya  katika zoezi la chanjo ya Polio kwa watoto chini ya Miaka mitano ambalo limefanyika nchi nzima ambapo imechanja watoto 91,501 sawa na asilimia 160 huku wilaya inayofuatia ikiwa na asilimia 132 ya lengo lililokusudiwa huku lengo la chanjo hiyo likiwa ni  kuepukana na athari zinazoweza kujitokeza kwa wananchi endapo ugonjwa huo utakapowakumba wananchi   ambao umeonekana maeneo ya karibu na Nchi yetu.


Mratibu wa Chanjo Halmashauri ya wilaya ya Chunya ndugu Blasio N. Kabwebwe amesema zoezi hilo limefanikiwa kwa kiwango kikubwa kutokana na kwanza maandalizi sahihi yaliyofanyika kabla ya zoezi kuanza, ushirikiano wa viongozi wote katika Halmashauri ya wilaya ya Chunya,  bidii na kujituma kwa wataalamu walioshiriki katika zoezi hilo na hata utayari wa wananchi baada ya kupewa Elimu juu ya Umuhimu wa chanjo hiyo.


“Wilaya yetu imekuwa kinara katika zoezi la Chanjo ya Polio awamu hii kwasababu kwanza maandalizi tuliyoyafanya kabla ya Chanjo hiyo kwa maana ya elimu kwa wataalamu, wananchi na viongozi wa serikali, pili ushirikiano ambao tunaupata kutoka kwa viongozi wote wa wilaya ya Chunya kwa ngazi zote lakini pia bidii na kujituma kwa wataalamu wote walioshiriki zoezi zima na mwisho ingawa sio kwa umuhimu ni utayari wa wananchi wetu kushiriki zoezi hilo maana bila utayari wao tusingefanikiwa kwa kiwangon hicho”


Mganga Mkuu wa wilaya ya Chunya Dr Darson Andrew amesema Chunya inafanya vizuri sio kwenye chanjo ya Polio awamu hii tu bali pia chanjo zote na utekelezaji wa afua mbalimbali ikiwepo afua za lishe ambapo kwa awamu hii Chunya ilishika nafasi ya tatu kitaifa na kwa maana hiyo Halmashauri yetu iliongoza mkoa na ameongeza kuwa kwa namna ambavyo viongozi wanavyowapatia ushirikiano basi Chunya itaendelea kufanya vizuri


“Sisi Chunya tunafanya vizuri maeneo mbalimbali sio Chanjo ya Polio tu, hivi karibuni Chunya imepata nafasi ya tatu kitaifa kwa utekelezaji wa mkataba wa lishe nchini na kwa maana hiyo Chunya iliongoza Mkoa katika eneo hilo na kwa namna tunavyopata ushirkiano toka ofisi ya Mkuu wa wilaya ya Chunya, Ofisi ya Mkurugenzi mtendaji, Madiwani kupitia kwa Mwenyeki wa Halmashauri na viongozi wengine wote Chunya tutaendelea kufanya vizuri zaidi”


Wataalamu walioshiriki kuhakikisha zoezi linafanikiwa wamesifu namna ambavyo waratibu na viongozi kwa ujumla walivyowapatia ushirikiano katika kutatua changamoto kabla ya zoezi, wakati wa zoezi na hata katika hatua za mwisho za kukamilisho kazi hizo jambo ambalo wametaja kuwaongezea morali ya kufanya kazi kwa bidii na weledi na hatimaye kuvuka lengo lililokusudiwa


Zoezi la Chanjo ya polia kitaifa limefanyika kuanzia tarehe 21-24/9/2023 ambapo halmashauri ya wilaya ya Chunya ililenga kuchanja watoto 56,979 lakini imefanikiwa kuchanja watoto 91,501 ambao ni sawa na asilimia 160 hivo Chunya kuvuka lengo kwa zaidi ya asilimia 60 ya lengo lililokusudiwa kufikiwa.

Afisa wa Afya katika kata ya Mafyeko akitoa Chanjo eneo la Mnada wakati wa Chanjo ya Polio iliyofanyika Nchi nzima kuanzia tarehe 21-24 september 2023

Namna wananchi katika kata ya Ifumbo walivyoitikia wito wa chanjo ya Polio baada ya kuelimisha juu ya umuhimu wa Chanjo hiyo

Baadhi ya wahudumu waliohusika katika zoezi la Chanjo ya Polio wakiwa kwenye Mafunzo ya namna ya kutekeleza jukumu hilo anayetoa maelekezo ni Mganga Mkuu wa wilaya ya Chunya Dr Darson Andrew wakati wa mafunzo kujiandaa na zoezi la Chanjo ya Polio 

Matangazo

  • ORODHA YA WALIOITWA KWENYE MAFUNZO YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA JIMBO LA LUPA December 21, 2024
  • Tangazo la Kuitwa kwenye usaili Kazi za MUDA ZA MAKARANI NA WASIMAMIZI WA SENSA 2022 July 17, 2022
  • Orodha ya walioitwa kwenye usaili Maombi ya kazi za sensa_Chunya_2022 July 17, 2022
  • ORODHA YA MAJINA YA WALIOITWA KWENYE USAILI 2022, HALMASHAURI YA WILAYA YA CHUNYA July 22, 2022
  • Zaidi

Habari Mpya

  • ZINGATIENI WELEDI NA UFANISI KAMA MLIVYOAMINIWA

    April 29, 2025
  • MAAFISA HABARI NA WAANDISHI WA HABARI KUNOLEWA ZAIDI JUU YA AFYA YA AKILI.

    April 16, 2025
  • DC CHUNYA NA SONGWE WAPELEKA OMBI MOJA KWA WAZIRI.

    April 04, 2025
  • TARAFA YA KIPEMBAWE CHUNYA YAJIDHATITI KUWATUMIKIA WANANCHI.

    March 21, 2025
  • Zaidi

Video

BILIONI 2.2 BAJETI YA TARURA WILAYA YA CHUNYA, SERIKALI TUNASHUKURU
video zaidi

Kiunganishi cha haraka

  • HATUA ZA KUANZISHA BIASHARA
  • MIONGOZO MBALIMBALI
  • FOMU ZA HUDUMA MBALIMBALI

Tovuti Nyingine Tunazohusiana

  • OR-TAMISEMI
  • BARAZA LA MITIHANI
  • majukumu ya Mamlaka ya Serikali Mtandao na Sheria ya Serikali Mtandao kwa ujumla
  • MKOA WA MBEYA
  • WIZARA YA ELIMU SAYANSI NA TEKNOLOJIA
  • WAKALA WA SERIKALI MTANDAO

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

wasiliana nasi

    Itigi Road

    sanduku la posta: P.O box 73 Chunya

    simu ya mezani: 025 2520121

    simu ya mkononi: 025 2520121

    Barua pepe: ded@chunyadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera binafsi
    • kanusho
    • MMM
    • Ramani elekezi
    • Huduma

Copyright ©2017 Chunya District Council . All rights reserved.