• Malalamiko |
    • wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe za watumishi |
Chunya District Council
Chunya District Council

jamhuri ya muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi na Tawala za mikoa na serikali za mitaa Halmashauri ya wilaya ya Chunya

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • muundo wa Taasisi
    • Misingi Mikuu
  • Utawala
    • Mipaka ya Kiutawala
    • Idara
      • Utumishim na Utawala
      • Mipango,ufuatiliaji na Takwimu
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ujenzi
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Tehama
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Madini
  • Huduma zetu
    • Huduma za afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma ya Maji
    • Huduma za kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha, Utawala, Mipango
      • Afya, Elimu, Maji
      • Maadili
      • Ukimwi
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
      • Ratiba ya vikao
      • Mwenyekiti kuonana na Wananchi
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi ambayo haijakamilika
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Utaratibu wa kufuata
    • Ripoti
    • Sheria
    • fomu za maombi
  • kituo cha habari
    • taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba mbali mbali
    • Maktaba ya picha
    • matukio mbali mbali
    • Habari

CHUNYA IMEFANIKISHA MAJUKUMU MAWILI YA KITAIFA

Imewekwa: September 15th, 2023

Mwenge wa uhuru umekamirisha ratiba yake  kimkoa wilayani CHUNYA

Wilaya ya Chunya imekalimisha Majukumu makubwa mawili ndani ya siku mbili tarehe 13 na 14/09/2023 ambapo wilaya ilipokea mwenge wa uhuru na kuukimbiza Zaidi ya kilomita 260 huku miradi yenye thamani ya shilingi bilioni 2.9 ikipitiwa wakati huo huo wanafunzi wa darasa la saba wamefanya mtihani wa taifa wa kuhitimu elimu ya msingi.

Miradi iliyopitiwa na mwenge ni pamoja na Mradi wa ujenzi wa shule ya msingi Mchepuo wa Kiingereza wenye thamani ya Zaidi ya milioni 340,Ujenzi wa jengo la wagonjwa wa nje (OPD) Hospitali ya wilaya ya Chunya wenye thamani ya milioni 388, ujenzi wa zahani ya Everest inayomilikiwa na vijana walionza kutekeleza mradi huo baada ya kukopeshwa fedha  milioni 39 kupitia fedha zinazotengwa na Halmashauri, Mradi wa ujenzi wa maabara ya kupima sampuli za madini wenye thamani ya milioni 955,mradi wa uchimbaji visima 26 utakagharimu milioni 910, mradi wa ujenzi wa kiwanda kidogo cha kusindika alizeti na kusaga mahindi pamoja na miradi mingingine

Sambamba na miradi hiyo kupitiwa na mwenge wa uhuru wilayani Chunya Mwenge  ulitoa jumbe mbalimbali maeneo mbalimbali kuhusu utunzaji wa mazingira, mapamabano dhidi ya Maralaia, mapambano dhidi ya Ukimwi, madawa ya kulevya na pia kuwasihi wananchi kuendelea kulinda, kutunza na kuhifadhi mazingira  ili  kuepuka ukame ambao unaweza kupelea njaa katika nchi yetu jambo ambalo sio lengo la serikali

Mwenge wa uhuru umekamilisha ratiba yake wilayani Chunya baada ya kupokelewa tarehe 13/9/2023 katika uwanja wa mpira wa miguu Sinjilili na Mkesha kufanyika katika uwanja wa mpira wa miguu Bitimanyanga na tarehe 14/9/023 Mkuu wa wilaya ya Chunya Mhe. Mayeka S Mayeka alimkabidhi mwenge wa uhuru Mkuu wa mkoa wa Mbeya Mhe. Juma Zaberi Homera na Baayae Mkuu wa Mkoa  aliongoza msafara wa Mwenge mpaka shule ya sekondari Kiloli iliyopo halmashauri ya wilaya ya Sikonge ambapo Mkuu wa Mkoa wa Tabora Mhe Batilda Buriani aliupokea mwenge wa uhuru 2023 tayari kuukimbiza katika Mkoa wake

Mwenge wa uhuru mwaka 2023 ukiongozwa na vijana shupavu chini ya Ndugu Abdallah Shaib Kaim umekagua, umefungua na umetembelea miradi mbalimbali katika sekta ya Afya, elimu, maji na miradi ya maendeleo na mwenge wa uhuru umeridha na utekelezaji wa miradi unafanywa wilayani Chunya na umepoea miradi yote inayotekelezwa wailani Chunya

Shamlashamla za mapokezi ya mbio za mwenge wa uhuruzi uwanja wa mpira wa miguuSinjilili  kata ya Itewe

Kiongozi wa mbi za mwenge ndugu Abdallah Shaibu Kaim akisalimiana na viongozi mbalimbali waserikali na chama wakati wa mapokezi ya mwenge viwanja vya Sinjilili

Mkuu wa wilaya Mh. Mayeka S. Mayeka akisoma taarifa  fupi wakati wa mapokezi ya mwenge wa uhuru uwanja wa Sinjilili

Matangazo

  • ORODHA YA WALIOITWA KWENYE MAFUNZO YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA JIMBO LA LUPA December 21, 2024
  • Tangazo la Kuitwa kwenye usaili Kazi za MUDA ZA MAKARANI NA WASIMAMIZI WA SENSA 2022 July 17, 2022
  • Orodha ya walioitwa kwenye usaili Maombi ya kazi za sensa_Chunya_2022 July 17, 2022
  • ORODHA YA MAJINA YA WALIOITWA KWENYE USAILI 2022, HALMASHAURI YA WILAYA YA CHUNYA July 22, 2022
  • Zaidi

Habari Mpya

  • ZINGATIENI WELEDI NA UFANISI KAMA MLIVYOAMINIWA

    April 29, 2025
  • MAAFISA HABARI NA WAANDISHI WA HABARI KUNOLEWA ZAIDI JUU YA AFYA YA AKILI.

    April 16, 2025
  • DC CHUNYA NA SONGWE WAPELEKA OMBI MOJA KWA WAZIRI.

    April 04, 2025
  • TARAFA YA KIPEMBAWE CHUNYA YAJIDHATITI KUWATUMIKIA WANANCHI.

    March 21, 2025
  • Zaidi

Video

BILIONI 2.2 BAJETI YA TARURA WILAYA YA CHUNYA, SERIKALI TUNASHUKURU
video zaidi

Kiunganishi cha haraka

  • HATUA ZA KUANZISHA BIASHARA
  • MIONGOZO MBALIMBALI
  • FOMU ZA HUDUMA MBALIMBALI

Tovuti Nyingine Tunazohusiana

  • OR-TAMISEMI
  • BARAZA LA MITIHANI
  • majukumu ya Mamlaka ya Serikali Mtandao na Sheria ya Serikali Mtandao kwa ujumla
  • MKOA WA MBEYA
  • WIZARA YA ELIMU SAYANSI NA TEKNOLOJIA
  • WAKALA WA SERIKALI MTANDAO

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

wasiliana nasi

    Itigi Road

    sanduku la posta: P.O box 73 Chunya

    simu ya mezani: 025 2520121

    simu ya mkononi: 025 2520121

    Barua pepe: ded@chunyadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera binafsi
    • kanusho
    • MMM
    • Ramani elekezi
    • Huduma

Copyright ©2017 Chunya District Council . All rights reserved.