• Malalamiko |
    • wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe za watumishi |
Chunya District Council
Chunya District Council

jamhuri ya muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi na Tawala za mikoa na serikali za mitaa Halmashauri ya wilaya ya Chunya

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • muundo wa Taasisi
    • Misingi Mikuu
  • Utawala
    • Mipaka ya Kiutawala
    • Idara
      • Utumishim na Utawala
      • Mipango,ufuatiliaji na Takwimu
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ujenzi
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Tehama
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Madini
  • Huduma zetu
    • Huduma za afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma ya Maji
    • Huduma za kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha, Utawala, Mipango
      • Afya, Elimu, Maji
      • Maadili
      • Ukimwi
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
      • Ratiba ya vikao
      • Mwenyekiti kuonana na Wananchi
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi ambayo haijakamilika
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Utaratibu wa kufuata
    • Ripoti
    • Sheria
    • fomu za maombi
  • kituo cha habari
    • taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba mbali mbali
    • Maktaba ya picha
    • matukio mbali mbali
    • Habari

KILIMO, UMWAGILIAJI NA USHIRIKA

SEKTA YA KILIMO, UMWAGILIAJI NA USHIRIKA

1.0 UTANGULIZI

Asilimia 87 ya wakazi wa wilaya ya Chunya wanategemea kilimo na kilimo ndiyo huchangia kwa kiwango kikubwa sana uchumi wa Wilaya.

Wilaya inakadiriwa kuwa najumla ya eneo lenye ukubwa wa hekta 1,315,000 ambapo eneo linalofaa kwa kilimo linakadiriwa kuwa ni hekta 1,035,400 na jumla ya hekta 79,072 ndizo zilizotumika kwa kilimo cha mazao ya chakula, biashara na bustani(mboga na matunda) katika msimu wa kilimo 2016/2017.

Hata hivyo eneo linalolimwa hubadilika kila msimu kulingana na malengo ya wakulima na mwelekeo wa hali ya hewa

Mazao ya chakula yanayolimwa ni Mahindi, Viazi vitamu, Maharage, Ulezi, Mtama, Mpunga, Muhogo na Kunde. Mazao ya biashara ni Tumbaku, Karanga, Alizeti, Ufuta na Choroko.

2.0 HALI YA HEWA

Wilaya ina wastani wa joto kati ya nyuzi za sentigredi 21 na 23. Wilaya hii hupata aina moja ya mvua (Unimodal rainfall pattern) yenye wastani kati ya milimita 500 na1000 kwa mwaka. Msimu wa mvua huanzia mwishoni mwa mwezi Oktoba hadi Aprili na kipindi chenye mvua nyingi ni kati ya mwezi Januari na Machi.

 

3.0  KANDA  ZA MAZAO (AGRO – ECOLOGICAL ZONES)

Wilaya ina kanda kuu 2  nazo ni ukanda wa madini na ukanda wa miombo.

3.1 Ukanda wa madini : Ukanda huu unajumuisha maeneo yote ya Tarafa ya Kiwanja yenye kata 11, vijiji 19 na mitaa 35. Mazao yanayolimwa ni Mahindi, Maharage, Mtama, Karanga, Viazi vitamu, Ulezi, Mihogo na Alizeti

3.2 Ukanda wa miombo : Ukanda huu unajumuisha maeneo yote ya Tarafa ya Kipembawe yenye kata 9 na vijiji 24. Mazao yanayolimwa ni Mahindi, Tumbaku, Alizeti,  Kunde, Choroko, Maharage, Mihogo, Viazi vitamu, Ulezi na Karanga

                            KUSOMA ZAIDI BONYEZA HAPA: SEKTA YA KILIMO, UMWAGILIAJI NA USHIRIKA.pdf

Matangazo

  • ORODHA YA WALIOITWA KWENYE MAFUNZO YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA JIMBO LA LUPA December 21, 2024
  • Tangazo la Kuitwa kwenye usaili Kazi za MUDA ZA MAKARANI NA WASIMAMIZI WA SENSA 2022 July 17, 2022
  • Orodha ya walioitwa kwenye usaili Maombi ya kazi za sensa_Chunya_2022 July 17, 2022
  • ORODHA YA MAJINA YA WALIOITWA KWENYE USAILI 2022, HALMASHAURI YA WILAYA YA CHUNYA July 22, 2022
  • Zaidi

Habari Mpya

  • DC BATENGA, "HAKIKISHENI MNAMILIKI ARDHI"

    May 14, 2025
  • ZINGATIENI WELEDI NA UFANISI KAMA MLIVYOAMINIWA

    April 29, 2025
  • MAAFISA HABARI NA WAANDISHI WA HABARI KUNOLEWA ZAIDI JUU YA AFYA YA AKILI.

    April 16, 2025
  • DC CHUNYA NA SONGWE WAPELEKA OMBI MOJA KWA WAZIRI.

    April 04, 2025
  • Zaidi

Video

BILIONI 2.2 BAJETI YA TARURA WILAYA YA CHUNYA, SERIKALI TUNASHUKURU
video zaidi

Kiunganishi cha haraka

  • HATUA ZA KUANZISHA BIASHARA
  • MIONGOZO MBALIMBALI
  • FOMU ZA HUDUMA MBALIMBALI

Tovuti Nyingine Tunazohusiana

  • OR-TAMISEMI
  • BARAZA LA MITIHANI
  • majukumu ya Mamlaka ya Serikali Mtandao na Sheria ya Serikali Mtandao kwa ujumla
  • MKOA WA MBEYA
  • WIZARA YA ELIMU SAYANSI NA TEKNOLOJIA
  • WAKALA WA SERIKALI MTANDAO

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

wasiliana nasi

    Itigi Road

    sanduku la posta: P.O box 73 Chunya

    simu ya mezani: 025 2520121

    simu ya mkononi: 025 2520121

    Barua pepe: ded@chunyadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera binafsi
    • kanusho
    • MMM
    • Ramani elekezi
    • Huduma

Copyright ©2017 Chunya District Council . All rights reserved.