• Malalamiko |
    • wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe za watumishi |
Chunya District Council
Chunya District Council

jamhuri ya muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi na Tawala za mikoa na serikali za mitaa Halmashauri ya wilaya ya Chunya

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • muundo wa Taasisi
    • Misingi Mikuu
  • Utawala
    • Mipaka ya Kiutawala
    • Idara
      • Utumishim na Utawala
      • Mipango,ufuatiliaji na Takwimu
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ujenzi
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Tehama
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Madini
  • Huduma zetu
    • Huduma za afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma ya Maji
    • Huduma za kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha, Utawala, Mipango
      • Afya, Elimu, Maji
      • Maadili
      • Ukimwi
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
      • Ratiba ya vikao
      • Mwenyekiti kuonana na Wananchi
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi ambayo haijakamilika
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Utaratibu wa kufuata
    • Ripoti
    • Sheria
    • fomu za maombi
  • kituo cha habari
    • taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba mbali mbali
    • Maktaba ya picha
    • matukio mbali mbali
    • Habari

SOMA KUJUA DALILI NA NAMNA YA KUJIKINGA NA KORONA PAMOJA NA NAMBA ZA BURE KUTOA TAARIFA

Imewekwa: March 16th, 2020

Namba za kupiga simu bure endapo utaona una dalili au utaona mtu mwenye dalili za Ugonjwa wa Korona


       0800110124

       0800110125

Namba hizi kupiga Ni bure hata kama hauna salio kwenye simu yako.


DALILI ZA UGONJWA WA CORONA


Dalili zionekanazo mara kwa Mara:

• Homa

• Kikohozi kibichi

• Uhemaji wa tabu

• Maumivu ya mwili

• Kuuma kwa koo mfano wa

matonses (tonsillitis)

• Kukosa hamu ya kula


Dalili za mara chache:

• Kuhara

• Kutapika

• Kichwa kuuma

• Kukohoa damu

• Maumivu ya kifua


Nani hupatwa na korona?


• Watu wote (wakike kwa kiume) waweza

kudhurika na korona

• Wenye maradhi yanayoshusha kinga mwili huwa na hatari kubwa Zaidi.

• Wazee pia wapo katika hatari kubwa kupatakorona kwani wana kingamwili hafifu.


KINGA:


• Kuosha mikono vizuri kwa maji safi na sabuni

• Tumia vikinga pua na mdomo (masks) ikiwa unahudumia washukiwa wa korona.

• Epuka kugusa na kurekebisha kikinga mdomo na pua (mask) na uso.

• Zingatia walau umbali wa futi 6 kutoka kwa mgonjwa mwenye korona

• Hakuna chanjo mpaka sasa


Kirusi cha korona katika mwili wa

binadamu:


• Huchukua siku 2 mpaka 14 (wastani siku 5) kwa binadamu kuanza kuonesha dalili baada ya kuambukizwa na virusi vya korona (incubation perion)

• Huambukizwa kwa njia ya matone yatokanayo kwa kukohoa au kugusana moja kwa moja.

• Epuka kusalimiana kwa mikono

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI June 01, 2018
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI ZA MUDA December 05, 2019
  • WANANCHI MNAASWA KUJITOKEZA KWA WINGI KUUPOKEA NA KUUKIMBIZA MWENGE WA UHURU. May 19, 2018
  • MAPENDEKEZO YA SHERIA NDOGONDOGO WILAYA YA CHUNYA. February 05, 2018
  • Zaidi

Habari Mpya

  • TAZAMA MAJINA YA WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA KWA MWAKA 2021

    December 18, 2020
  • WATAKAOJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA 2021 WATANGAZWA

    December 17, 2020
  • TUME YA TAIFA YA UCHAGUZIi (NEC) YAPOKEA PINGAMIZI 557 YA UBUNGE NA UDIWANI

    September 02, 2020
  • HII NI KWA WAZABUNI WOTE WILAYA YA CHUNYA NA MBEYA KWA UJUMLA

    May 05, 2020
  • Zaidi

Video

MRADI WA BWAWA LA MATWIGA
video zaidi

Kiunganishi cha haraka

  • HATUA ZA KUANZISHA BIASHARA
  • MIONGOZO MBALIMBALI
  • FOMU ZA HUDUMA MBALIMBALI

Tovuti Nyingine Tunazohusiana

  • OR-TAMISEMI
  • BARAZA LA MITIHANI
  • majukumu ya Mamlaka ya Serikali Mtandao na Sheria ya Serikali Mtandao kwa ujumla
  • MKOA WA MBEYA
  • WIZARA YA ELIMU SAYANSI NA TEKNOLOJIA
  • WAKALA WA SERIKALI MTANDAO

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

wasiliana nasi

    Itigi Road

    sanduku la posta: P.O box 73 Chunya

    simu ya mezani: 025 2520121

    simu ya mkononi: 0759280319

    Barua pepe: ded@chunyadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera binafsi
    • kanusho
    • MMM
    • Ramani elekezi
    • Huduma

Copyright ©2017 Chunya District Council . All rights reserved.