• Malalamiko |
    • wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe za watumishi |
Chunya District Council
Chunya District Council

jamhuri ya muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi na Tawala za mikoa na serikali za mitaa Halmashauri ya wilaya ya Chunya

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • muundo wa Taasisi
    • Misingi Mikuu
  • Utawala
    • Mipaka ya Kiutawala
    • Idara
      • Utumishim na Utawala
      • Mipango,ufuatiliaji na Takwimu
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ujenzi
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Tehama
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Madini
  • Huduma zetu
    • Huduma za afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma ya Maji
    • Huduma za kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha, Utawala, Mipango
      • Afya, Elimu, Maji
      • Maadili
      • Ukimwi
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
      • Ratiba ya vikao
      • Mwenyekiti kuonana na Wananchi
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi ambayo haijakamilika
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Utaratibu wa kufuata
    • Ripoti
    • Sheria
    • fomu za maombi
  • kituo cha habari
    • taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba mbali mbali
    • Maktaba ya picha
    • matukio mbali mbali
    • Habari

WANANCHI WATAKIWA KUJENGA MAKAZI BORA YA KUISHI ILI KUENDANA NA KASI YA SERIKALI YA KUWAPELEKEA HUDUMA

Imewekwa: February 29th, 2024

Mkuu wa wilaya ya Chunya Mrakibu Mwandamizi wa Uhamiaji Mbaraka Alhaji Batenga amewataka wananchi kujenga majengo bora ya kuishi ili kuendana na mabadiliko makubwa yanayofanywa na serikali ya awamu ya sita katika wilaya ya Chunya miradi hiyo ni pamoja na umeme, Maji, Barabara yakutoka Tabora mpaka Mbeya likitolewa ufafanuzi na Batenga kuwa ujenzi huo upo kwenye mpango maalumu na kukamilika kwake kutaongeza mwingiliano wa watu kutoka maeneo mbalimbali ya nchi

Mhe Batenga ametoa kauli hiyo jana tarehe 28/2/2024 wakati akizungumza na wananchi wa Kata ya Kambikatoto ikiwa ni mwendelezo wa ziara yake iliyodumu kwa siku mbili yenye lengo la kukagua utekelezaji wa miradi ya Maendeleo inayotekelezwa katika Halmashauri ya wilaya ya Chunya

Awali wataalamu kutoka Halmashauri ya Wilaya ya Chunya kwa nyakati tofauti walipopata nafasi ya kuzungumza namna idara na vitengo vyao vinavyosimamia miradi hiyo ya maendeleo katika mkutano huo wa mkuu wa wilaya na wananchi wa kambikatoto, wamekiri miradi hiyo inatarajiwa kukamilika kabla ya mwezi wa nane kutokana na uhitaji wa miradi hiyo ukiwepo Mradi wa Maji pamoja na Umeme

Batenga akijibu maswali kuhusu uwepo wa migogoro midogo midogo kati ya wakulima na wafugaji amewataka wananchi kuwa watulivu kwani Serikali iko katika hatua za mwisho za ukamilishaji wa mpango wa matumizi bora ya ardhi jambo ambalo itaondoa kabisa changamoto ya migogoro ya ardhi wilani Chunya lakini pia ujenzi wa kituo cha Polisi cha Kambikato kitasaidia pia kupunguza Migogoro mbalimbali

Aidha Mhe Batenga amewataka viongozi wa kijiji kuandaa vikao na mikutano ya hadhara kwa lengo la kusoma mapato na matumizi kwa wananchi ili kusaidia kuondokana sitofahamu namna ya mwenendo wa kijiji husika, huku akisema ni haki ya wananchi kuhakikisha wanajua mapato na matumizi ya vijiji vyao

Ziara ya Mkuu wa wilaya ya Chunya ilianza tarehe 27/2/2024 na kuhimitishwa tarehe 28/2/2024 ambapo katika siku ya pili ya ziara miradi mbalimbai imetembelewa ikiwepo shule mbili za msingi ikiwa ni pamoja na shule ya msingi Kipembawe iliyojengwa kwa shilini milioni 538.5, kituo cha Polisi, Shule ya sekondari Kambikatoto na baadaye kufanya mkutano wa Hadhara kwaajili ya kusikiliza kero za wananchi na kuzipatia majibu

Baadhi ya wananchi waliokuwa wanajitokeza kutoa kero kwa Mkuu wa wilaya,kusikiliza maelekezo ya serikali kwao juu ya mambo mbalimbali

Mkuu wa wilaya ya Chunya (Kulia mwenye Shati la Draft) akiongoza kamati ya Ulinzi na usalama kukagua miradi ya Maendeleo. Pichani ni mradi wa ujenzi wa Shule ya Sekondari Kambikatoto

Mhandisi wa Halmashauru ya wilaya ya Chunya (Wa pili kutoka kulia) akifafanua jambo kwa Mkuu wa wilaya ya Chunya wakati alipoongoza kamati ya usalama ya wilaya ya kukagua miradi ya Maendeleo

Mkuu wa wilaya ya Chunya akikagua ujenzi wa Maabara katika shule ya Sekondari Kambikatoto mapema jana wakati wa kuhitimisha ziara yake iliyodumu kwa siku mbili

Matangazo

  • ORODHA YA WALIOITWA KWENYE MAFUNZO YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA JIMBO LA LUPA December 21, 2024
  • Tangazo la Kuitwa kwenye usaili Kazi za MUDA ZA MAKARANI NA WASIMAMIZI WA SENSA 2022 July 17, 2022
  • Orodha ya walioitwa kwenye usaili Maombi ya kazi za sensa_Chunya_2022 July 17, 2022
  • ORODHA YA MAJINA YA WALIOITWA KWENYE USAILI 2022, HALMASHAURI YA WILAYA YA CHUNYA July 22, 2022
  • Zaidi

Habari Mpya

  • DC BATENGA, "HAKIKISHENI MNAMILIKI ARDHI"

    May 14, 2025
  • ZINGATIENI WELEDI NA UFANISI KAMA MLIVYOAMINIWA

    April 29, 2025
  • MAAFISA HABARI NA WAANDISHI WA HABARI KUNOLEWA ZAIDI JUU YA AFYA YA AKILI.

    April 16, 2025
  • DC CHUNYA NA SONGWE WAPELEKA OMBI MOJA KWA WAZIRI.

    April 04, 2025
  • Zaidi

Video

BILIONI 2.2 BAJETI YA TARURA WILAYA YA CHUNYA, SERIKALI TUNASHUKURU
video zaidi

Kiunganishi cha haraka

  • HATUA ZA KUANZISHA BIASHARA
  • MIONGOZO MBALIMBALI
  • FOMU ZA HUDUMA MBALIMBALI

Tovuti Nyingine Tunazohusiana

  • OR-TAMISEMI
  • BARAZA LA MITIHANI
  • majukumu ya Mamlaka ya Serikali Mtandao na Sheria ya Serikali Mtandao kwa ujumla
  • MKOA WA MBEYA
  • WIZARA YA ELIMU SAYANSI NA TEKNOLOJIA
  • WAKALA WA SERIKALI MTANDAO

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

wasiliana nasi

    Itigi Road

    sanduku la posta: P.O box 73 Chunya

    simu ya mezani: 025 2520121

    simu ya mkononi: 025 2520121

    Barua pepe: ded@chunyadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera binafsi
    • kanusho
    • MMM
    • Ramani elekezi
    • Huduma

Copyright ©2017 Chunya District Council . All rights reserved.