• Malalamiko |
    • wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe za watumishi |
Chunya District Council
Chunya District Council

jamhuri ya muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi na Tawala za mikoa na serikali za mitaa Halmashauri ya wilaya ya Chunya

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • muundo wa Taasisi
    • Misingi Mikuu
  • Utawala
    • Mipaka ya Kiutawala
    • Idara
      • Utumishim na Utawala
      • Mipango,ufuatiliaji na Takwimu
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ujenzi
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Tehama
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Madini
  • Huduma zetu
    • Huduma za afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma ya Maji
    • Huduma za kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha, Utawala, Mipango
      • Afya, Elimu, Maji
      • Maadili
      • Ukimwi
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
      • Ratiba ya vikao
      • Mwenyekiti kuonana na Wananchi
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi ambayo haijakamilika
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Utaratibu wa kufuata
    • Ripoti
    • Sheria
    • fomu za maombi
  • kituo cha habari
    • taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba mbali mbali
    • Maktaba ya picha
    • matukio mbali mbali
    • Habari

Mwanginde ataka uadilifu kazini

Imewekwa: August 19th, 2022

Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Chunya Mhe. Bosco Mwanginde amewataka viongozi kufanya kazi kwa kuzingatia taratibu, miongozo na sheria zilizopo.

Mwanginde ameyasema hayo ameyasema leo Agosti19, 2022 katika Mkutano wa Baraza la Madiwani wa kuwasiliana na kujadili taarifa za robo ya nne ya mwaka 2021/2022, uliofanyika katika ukumbi wa Mikutano wa Halmashauri ya Chunya {Sapanjo Hall}.

Akizungumza wakati wa kufungua kikao hicho, Mwangine amesisitiza viongozi wanapaswa kuendelea kufanya kazi kwa kuzingatia taratibu, miongozo kanuni na sheria zilizopo ili kufanya kazi kwa ufanisi na uadilifu na kuleta tija katika kushughulikia wananchi.

“Kwa kipindi chote cha utekelezaji wa majukumu yetu kila mmoja wetu kwa nafasi yake na taaluma yake afanye kazi kwa uadilifu na kuhakikisha kwamba wananchi ambao waliotupa dhamana wanapata huduma iliyo bora na stahiki." Alisema Mwanginde.

Vilevile aliwasisitizia viongozi na wataalam kuhakikisha wanaendelea kutekeleza ilani ya Chama Cha Mapinduzi {CCM} ya miaka mitano 2020/2025 ili kutenda haki nakutimiza ahadi na miongozo ya chama hicho.

Mwanginde aliongeza kwa kusema kuwa, Halmashauri ya Wilaya ya Chunya imepokea jumla ya shilingi bilioni 5.9 kwa ajili ya utekelezaji wa miradi mbalimbali ya maendeleo katika sekta ya elimu, afya na utawala ambapo miradi hiyo ipo katika hatua mbalimbali katika maeneo yanayosimamiwa na Halmashauri ya Wilaya ya Chunya.

Kwa kipindi cha mwaka wa fedha wa 2021/2022 Halmashauri ya Wilaya hiyo imefanikiwa kukusanya mapato ya ndani jumla ya shilingi bilioni 5 na kushika nafasi ya pili kimkoa katika ukusanyaji wa mapato.

“Mabadiliko haya katika makusanyo yetu ya ndani yametupa faraja kubwa sisi kama viongozi wenye dhamana ya kazi hiyo, lakini pia imetoa faraja kwa watendaji wetu ambao ndio wasimamizi wa shughuli ambazo tumewakabidhi."Alisema Mwanginde.

Aidha Mwanginde ametoa rai kwa viongozi na wataalam kuendelea kushirikiana kwa hali na mali katika kuendelea kutekeleza hayo ili kuhakikisha Halmashauri ya Wilaya ya Chunya inakusanya mapato kwa kiwango ambacho kipo kwenye bajeti na kuweza kufanikisha yale yote ambayo yamewekwa kwenye bajeti hasa miradi ya maendeleo inayotekelezwa.

Matangazo

  • ORODHA YA WALIOITWA KWENYE MAFUNZO YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA JIMBO LA LUPA December 21, 2024
  • Tangazo la Kuitwa kwenye usaili Kazi za MUDA ZA MAKARANI NA WASIMAMIZI WA SENSA 2022 July 17, 2022
  • Orodha ya walioitwa kwenye usaili Maombi ya kazi za sensa_Chunya_2022 July 17, 2022
  • ORODHA YA MAJINA YA WALIOITWA KWENYE USAILI 2022, HALMASHAURI YA WILAYA YA CHUNYA July 22, 2022
  • Zaidi

Habari Mpya

  • DC BATENGA, "HAKIKISHENI MNAMILIKI ARDHI"

    May 14, 2025
  • ZINGATIENI WELEDI NA UFANISI KAMA MLIVYOAMINIWA

    April 29, 2025
  • MAAFISA HABARI NA WAANDISHI WA HABARI KUNOLEWA ZAIDI JUU YA AFYA YA AKILI.

    April 16, 2025
  • DC CHUNYA NA SONGWE WAPELEKA OMBI MOJA KWA WAZIRI.

    April 04, 2025
  • Zaidi

Video

BILIONI 2.2 BAJETI YA TARURA WILAYA YA CHUNYA, SERIKALI TUNASHUKURU
video zaidi

Kiunganishi cha haraka

  • HATUA ZA KUANZISHA BIASHARA
  • MIONGOZO MBALIMBALI
  • FOMU ZA HUDUMA MBALIMBALI

Tovuti Nyingine Tunazohusiana

  • OR-TAMISEMI
  • BARAZA LA MITIHANI
  • majukumu ya Mamlaka ya Serikali Mtandao na Sheria ya Serikali Mtandao kwa ujumla
  • MKOA WA MBEYA
  • WIZARA YA ELIMU SAYANSI NA TEKNOLOJIA
  • WAKALA WA SERIKALI MTANDAO

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

wasiliana nasi

    Itigi Road

    sanduku la posta: P.O box 73 Chunya

    simu ya mezani: 025 2520121

    simu ya mkononi: 025 2520121

    Barua pepe: ded@chunyadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera binafsi
    • kanusho
    • MMM
    • Ramani elekezi
    • Huduma

Copyright ©2017 Chunya District Council . All rights reserved.