• Malalamiko |
    • wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe za watumishi |
Chunya District Council
Chunya District Council

jamhuri ya muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi na Tawala za mikoa na serikali za mitaa Halmashauri ya wilaya ya Chunya

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • muundo wa Taasisi
    • Misingi Mikuu
  • Utawala
    • Mipaka ya Kiutawala
    • Idara
      • Utumishim na Utawala
      • Mipango,ufuatiliaji na Takwimu
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ujenzi
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Tehama
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Madini
  • Huduma zetu
    • Huduma za afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma ya Maji
    • Huduma za kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha, Utawala, Mipango
      • Afya, Elimu, Maji
      • Maadili
      • Ukimwi
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
      • Ratiba ya vikao
      • Mwenyekiti kuonana na Wananchi
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi ambayo haijakamilika
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Utaratibu wa kufuata
    • Ripoti
    • Sheria
    • fomu za maombi
  • kituo cha habari
    • taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba mbali mbali
    • Maktaba ya picha
    • matukio mbali mbali
    • Habari

Michombero aongoza usafi Chunya maadhimisho Miaka 58 ya Muungano

Imewekwa: April 26th, 2022

KATIBU Tawala wa Wilaya ya Chunya Mh Anaklet Michombero amewaongoza wakazi wa Wilaya ya Chunya na viongozi mbalimbali kufanya usafi wa mazingira katika hospitali ya Wilaya, ikiwa ni sehemu ya kuadhimisha miaka 58 ya muungano wa Tanganyika na Zanzibar.

Michombero alitumia fursa hiyo kuwasisitiza wananchi kuhakikisha wanashiriki zoezi la sensa pindi ifikapo Agosti 23, 20222.

Naye Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Chunya Ndg. Tamim Kambona amesema wao kama halmashauri wameamua kuadhimisha muungano kwa kusafisha mazingira ya hospitali ya Wilaya.

“Kama maagizo ya Serikali yalivyotolewa siku hii ya leo itahadhimishwa kwa wananchi kufanya usafi katika eneo mojawapo la taasisi ambalo litakuwa limechaguliwa kwa ajili ya kufanya usafi huo.

“Na kwa Halmashauri ya Wilaya yetu ya Chunya tulikubaliana usafi ufanyike kwenye eneo letu la hospitali.” Alisema Kambona

Pia Kambona aliwapongeza na kuwashukuru wananchi kwa namna walivyojitoa na kushiriki usafi katika hospitali ya Wilaya na kuhakikisha mazingira ya hospitali yanakuwa safi.

Aidha Katibu wa CCM Wilaya ya Chunya Mh. Charles J. Seleman akizungumza baada ya zoezi la usafi kumalizika amesema, moja ya mafanikio ya muungano ni maendeleo yaliyopo Wilayani Chunya.

“Maendeleo tunayoyaona katika wilaya yetu yapo wazi ambayo wewe kama mkuu wa Serikali na Mkurugenzi mmeyasimamia na yameletea tija katika wilaya yetu.” Alisema Seleman.

Waki huo huo, Katibu huyo amewasisitiza wanachunya kuendelea kuwa na umoja, upendo na mshikamano ili kuweza kuiletea Chunya maendeleo.

“Ndugu zangu wananchunya kinachotakiwa sasa ni kujenga ushirikiano wa pamoja, umoja, upendo na mshikamano katika kuleta mandeleo ya Wilaya yetu ya Chunya”. Alisema Seleman.

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Chunya Ndg Tamim Kambona Akifweka Majani Katika Eneo la Hospitali ya Wilaya ikiwa Ni Maadhimisho ya Miaka 58 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar

Baadhi ya wakazi wa Wilaya ya Chunya waliojitokeza  na kushiriki kufanya Usafi katika Eneo la Hospitali ya Wilaya, ikiwa ni maadhimisho ya miaka 58 ya muungano wa Tanganyika na Zanzibar

Afisa Utumishi wa Halmashauri ya wilaya ya Chunya Ndg John Maholani wa kwanza kushoto akiwa sambamba na moja wa mwananchi aliyejitokeza kufanya usafi katika hospitali ya wilaya

Mr. Joel Joel Afisa Hesabu II Halmashauri ya wilaya ya Chunya Akifanya Usafi katika Moja ya Eneo la hopsitali ya Wilaya, Ikiwa Maadhimisho ya Miaka 58 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar.

Matangazo

  • ORODHA YA WALIOITWA KWENYE MAFUNZO YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA JIMBO LA LUPA December 21, 2024
  • Tangazo la Kuitwa kwenye usaili Kazi za MUDA ZA MAKARANI NA WASIMAMIZI WA SENSA 2022 July 17, 2022
  • Orodha ya walioitwa kwenye usaili Maombi ya kazi za sensa_Chunya_2022 July 17, 2022
  • ORODHA YA MAJINA YA WALIOITWA KWENYE USAILI 2022, HALMASHAURI YA WILAYA YA CHUNYA July 22, 2022
  • Zaidi

Habari Mpya

  • DC BATENGA, "HAKIKISHENI MNAMILIKI ARDHI"

    May 14, 2025
  • ZINGATIENI WELEDI NA UFANISI KAMA MLIVYOAMINIWA

    April 29, 2025
  • MAAFISA HABARI NA WAANDISHI WA HABARI KUNOLEWA ZAIDI JUU YA AFYA YA AKILI.

    April 16, 2025
  • DC CHUNYA NA SONGWE WAPELEKA OMBI MOJA KWA WAZIRI.

    April 04, 2025
  • Zaidi

Video

BILIONI 2.2 BAJETI YA TARURA WILAYA YA CHUNYA, SERIKALI TUNASHUKURU
video zaidi

Kiunganishi cha haraka

  • HATUA ZA KUANZISHA BIASHARA
  • MIONGOZO MBALIMBALI
  • FOMU ZA HUDUMA MBALIMBALI

Tovuti Nyingine Tunazohusiana

  • OR-TAMISEMI
  • BARAZA LA MITIHANI
  • majukumu ya Mamlaka ya Serikali Mtandao na Sheria ya Serikali Mtandao kwa ujumla
  • MKOA WA MBEYA
  • WIZARA YA ELIMU SAYANSI NA TEKNOLOJIA
  • WAKALA WA SERIKALI MTANDAO

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

wasiliana nasi

    Itigi Road

    sanduku la posta: P.O box 73 Chunya

    simu ya mezani: 025 2520121

    simu ya mkononi: 025 2520121

    Barua pepe: ded@chunyadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera binafsi
    • kanusho
    • MMM
    • Ramani elekezi
    • Huduma

Copyright ©2017 Chunya District Council . All rights reserved.