• Malalamiko |
    • wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe za watumishi |
Chunya District Council
Chunya District Council

jamhuri ya muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi na Tawala za mikoa na serikali za mitaa Halmashauri ya wilaya ya Chunya

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • muundo wa Taasisi
    • Misingi Mikuu
  • Utawala
    • Mipaka ya Kiutawala
    • Idara
      • Utumishim na Utawala
      • Mipango,ufuatiliaji na Takwimu
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ujenzi
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Tehama
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Madini
  • Huduma zetu
    • Huduma za afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma ya Maji
    • Huduma za kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha, Utawala, Mipango
      • Afya, Elimu, Maji
      • Maadili
      • Ukimwi
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
      • Ratiba ya vikao
      • Mwenyekiti kuonana na Wananchi
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi ambayo haijakamilika
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Utaratibu wa kufuata
    • Ripoti
    • Sheria
    • fomu za maombi
  • kituo cha habari
    • taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba mbali mbali
    • Maktaba ya picha
    • matukio mbali mbali
    • Habari

MHE. MASACHE, AWATAKA WANANCHI KULINDA MIRADI INAYOTEKELEZWA WILAYANI CHUNYA

Imewekwa: February 20th, 2023

Mbunge wa Jimbo la Lupa Mhe: MASACHE, NJERU KASAKA amesema kazi aliyotumwa na wananchi wa Chunya anaendelea kuitekeleza kwa weledi, ikiwa kuhakikisha miradi mbalimbali wilayani Chunya inatekelezwa na pia amewaomba wananchi wa jimbo hilo kuendelea kuitunza miradi inayojengwa wilayani humo ili idumu kwa muda mrefu

Mhe Masache amesema hayo alipokuwq akizungumza na wananchi waliojitokeza kupokea mitambo ya uchimbaji maji safi na salama wilayani Chunya ambapo Mhe Masache alimuwakilisha Naibu waziri wa Maji na umwagiliaji Mh: Maryprisca Mahundi kukabidhi mitambo hiyo

“Ndugu wananchi mitambo hii ya uchimbaji visima tunaiacha hapa Itumbi, msisubiri viongozi wa serikali wailinde na wala msisubiri askari polisi waje kuilindi, Ninyi muwe walinzi wa kwanza wa mitambo hii na mtoe ushirikiano pale utakapohitajika”

Naye Meneja wa RUWASA wilayani chunya Eng ISMAIL Nassor wakati akitoa taarifa ya upatikanaji wa maji wilayani chunya mbele ya Mhe Mbunge wa Jimbo la Lupa amesemsa Ilani ya Chama Cha Mapinduzi 2020-2025 ni kuhakikisha upatikanaji wa maji safi na salama vijijini unafikia asilimia 85 lakini mpaka sasa hali ya upatikanaji wa maji safi na salama katika vijiji vya wilaya ya Chunya ni asilimia 47% hivyo mitambo hii itaongeza hali ya upatikanaji wa Maji maeneo mbalimbali wilayani Chunya

Aidha Mhe; Masache amewashukuru wananchi kwa utayari waliouonesha katika ziara ya Mkuu wa Mkoa Mhe Juma Zuberi Homera alipotembea Itumbi ambapo wananchi walichangia zaidi ya Shilingi Milioni Moja na huku Mkuu wa mkoa akiahidi milioni Mbili ili ujenzi wa Shule ya sekondari Masache uanze Itumbi ikiwa ni kuepukana na wanafunzi kusafiri umbali mrefu kufuata huduma ya sekondari

Masache amesema kwakuwa ujenzi una hatua mbalimbali za ujenzi yeye kwa hatua hii ya kwanza amechangia milioni tano na amewataka wananchi kuwa tayari kwaajili ya harambee itakayopangwa hapo badaaye ili kufanyike changizo la ujenzi wa shule ya sekondari Masache ili kufikia Disemba mwaka huu shule iwe imekamilika na iko tayari kupokea wanafunzi wa kidato cha kwanza 2024

Katika hafla hiyo ya kukabidhi mitambo ya uchimbaji visima Mhe Masache aliongozana na viongozi Mbalimbali akiwepo Mbunge wa Jimbo la Kyela, Mwenyekiti wa Halmashauri ya wilaya ya Chunya, Viongozi wa Chama cha Mapinduzi wilaya wakiongozwa na Mweneyekiti wa Chama Ndugu Noel Chiwanga, kaimu Mkurugenzi wa Halmashauri ya wilaya ya Chunya pamoja na Viongozi wa RUWASA Wilaya na Mkoa

Mbunge wa Jimbo la Lupa Mhe. Masache Kasaka akizungumza wakati wa hafla ya kupokea mitambo ya kuchimba visima wilayani Chunya

Matangazo

  • ORODHA YA WALIOITWA KWENYE MAFUNZO YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA JIMBO LA LUPA December 21, 2024
  • Tangazo la Kuitwa kwenye usaili Kazi za MUDA ZA MAKARANI NA WASIMAMIZI WA SENSA 2022 July 17, 2022
  • Orodha ya walioitwa kwenye usaili Maombi ya kazi za sensa_Chunya_2022 July 17, 2022
  • ORODHA YA MAJINA YA WALIOITWA KWENYE USAILI 2022, HALMASHAURI YA WILAYA YA CHUNYA July 22, 2022
  • Zaidi

Habari Mpya

  • DC BATENGA, "HAKIKISHENI MNAMILIKI ARDHI"

    May 14, 2025
  • ZINGATIENI WELEDI NA UFANISI KAMA MLIVYOAMINIWA

    April 29, 2025
  • MAAFISA HABARI NA WAANDISHI WA HABARI KUNOLEWA ZAIDI JUU YA AFYA YA AKILI.

    April 16, 2025
  • DC CHUNYA NA SONGWE WAPELEKA OMBI MOJA KWA WAZIRI.

    April 04, 2025
  • Zaidi

Video

BILIONI 2.2 BAJETI YA TARURA WILAYA YA CHUNYA, SERIKALI TUNASHUKURU
video zaidi

Kiunganishi cha haraka

  • HATUA ZA KUANZISHA BIASHARA
  • MIONGOZO MBALIMBALI
  • FOMU ZA HUDUMA MBALIMBALI

Tovuti Nyingine Tunazohusiana

  • OR-TAMISEMI
  • BARAZA LA MITIHANI
  • majukumu ya Mamlaka ya Serikali Mtandao na Sheria ya Serikali Mtandao kwa ujumla
  • MKOA WA MBEYA
  • WIZARA YA ELIMU SAYANSI NA TEKNOLOJIA
  • WAKALA WA SERIKALI MTANDAO

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

wasiliana nasi

    Itigi Road

    sanduku la posta: P.O box 73 Chunya

    simu ya mezani: 025 2520121

    simu ya mkononi: 025 2520121

    Barua pepe: ded@chunyadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera binafsi
    • kanusho
    • MMM
    • Ramani elekezi
    • Huduma

Copyright ©2017 Chunya District Council . All rights reserved.