• Malalamiko |
    • wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe za watumishi |
Chunya District Council
Chunya District Council

jamhuri ya muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi na Tawala za mikoa na serikali za mitaa Halmashauri ya wilaya ya Chunya

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • muundo wa Taasisi
    • Misingi Mikuu
  • Utawala
    • Mipaka ya Kiutawala
    • Idara
      • Utumishim na Utawala
      • Mipango,ufuatiliaji na Takwimu
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ujenzi
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Tehama
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Madini
  • Huduma zetu
    • Huduma za afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma ya Maji
    • Huduma za kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha, Utawala, Mipango
      • Afya, Elimu, Maji
      • Maadili
      • Ukimwi
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
      • Ratiba ya vikao
      • Mwenyekiti kuonana na Wananchi
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi ambayo haijakamilika
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Utaratibu wa kufuata
    • Ripoti
    • Sheria
    • fomu za maombi
  • kituo cha habari
    • taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba mbali mbali
    • Maktaba ya picha
    • matukio mbali mbali
    • Habari

MAFUNZO KWA WASIMAMIZI CHUNYA ISHARA YA UCHAGUZI MZURI

Imewekwa: August 4th, 2025

Msimamizi wa Uchaguzi Jimbo la Lupa Wakili Athuman Bamba amewataka wasimamizi wasaidizi wa ngazi ya kata kuhakikisha wanasoma Sheria, kanuni na miongozo inayotolewa na Tume Hur ya Taifa ya Uchaguzi ili waweze kutekeleza vyema majukumu yao waliyokabidhiwa kutekeleza kwa niaba ya Tume ya Taifa ya Uchaguzi kwenye maeneo wanayotoka

Ametoa rai hiyo leo 4.8.2025 wakati akifungua mafunzo ya wasimamizi wasaidizi wa Uchaguzi Ngazi ya kata wa Jimbo la uchaguzi la Lupa waliyofanyika ukumbi wa Halmashauri ya wilaya ya Chunya (Mwanginde Hall) unaopatikana Jengo jipya la utawala

“Pamoja na uzoefu ambao baadhi yenu mnao katika shughuli za Uchaguzi niwaombe msome na kuzielewa vyema Sheria, Kanuni na Miongozo ya Uchagzui inayotolewa na Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi ili mkatekeleza majukumu yenu mliyopewa na Tume huru ya Taifa ya Uchaguzi katika maeneo yenu ya uteuzi” Amesema Wakili. Bamba.

Sambamba na maeekezo hayo Msimamizi wa uchaguzi Jimbo la Lupa amewapongeza washiriki wote kwa kuaminiwa na Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi ili kutekeleza majukumu kwa niaba ya Tume huru katika maeneo yao wanayoishi huku akiwakumbusha kwamba uteuzi wao umezingatia utendaji kazi, weledi na uzalendo kwa Taifa lao hivyo wafanyekazi kama walivyoaminiwa.

Naye afisa Uchaguzi wa jimbo la Uchaguzi la Lupa Ndugu Ridhiwani Mshigati amewakumbusha washiriki kwamba kazi hii wanayokabidhiwa na Tume ni muhimu yenye kuhitaji watu makini na weledi huku akiwakumbusha kwamba weledi katika kazi zilizopita ndiyo msingi wa kuteuliwa kwao hivyo amesisitiza kuzingatia weledi wakati wote wa zoezi hili

Washiriki wa Mafunzo arobaini (40) kutoka kata zote ishirini (20) za Jimbo la Uchaguzi la Lupa wanashiriki mafunzo hayo ikiwa ni maandalizi kuelekea kutekeleza majukumu kama Wasimamizi wasaidizi wa Uchaguzi ngazi ya kata ndani ya jimbo la Lupa



Matangazo

  • TANGAZO LA KAZI TOKA TUME HURU YA TAIFA YA UCHAGUZI July 03, 2025
  • Tangazo la Kuitwa kwenye usaili Kazi za MUDA ZA MAKARANI NA WASIMAMIZI WA SENSA 2022 July 17, 2022
  • Orodha ya walioitwa kwenye usaili Maombi ya kazi za sensa_Chunya_2022 July 17, 2022
  • ORODHA YA MAJINA YA WALIOITWA KWENYE USAILI 2022, HALMASHAURI YA WILAYA YA CHUNYA July 22, 2022
  • Zaidi

Habari Mpya

  • MAFUNZO KWA WASIMAMIZI CHUNYA ISHARA YA UCHAGUZI MZURI

    August 04, 2025
  • RUNGWE WACHALAZWA CHUNYA

    July 19, 2025
  • DED CHUNYA APONGEZA WANANCHI UTEKELEZAJI MIRADI YA TASAF

    July 16, 2025
  • TANGAZO NAFASI ZA KAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA CHUNYA.

    July 10, 2025
  • Zaidi

Video

BILIONI 2.2 BAJETI YA TARURA WILAYA YA CHUNYA, SERIKALI TUNASHUKURU
video zaidi

Kiunganishi cha haraka

  • HATUA ZA KUANZISHA BIASHARA
  • MIONGOZO MBALIMBALI
  • FOMU ZA HUDUMA MBALIMBALI

Tovuti Nyingine Tunazohusiana

  • OR-TAMISEMI
  • BARAZA LA MITIHANI
  • majukumu ya Mamlaka ya Serikali Mtandao na Sheria ya Serikali Mtandao kwa ujumla
  • MKOA WA MBEYA
  • WIZARA YA ELIMU SAYANSI NA TEKNOLOJIA
  • WAKALA WA SERIKALI MTANDAO

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

wasiliana nasi

    Itigi Road

    sanduku la posta: P.O box 73 Chunya

    simu ya mezani: 025 2520121

    simu ya mkononi: 025 2520121

    Barua pepe: ded@chunyadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera binafsi
    • kanusho
    • MMM
    • Ramani elekezi
    • Huduma

Copyright ©2017 Chunya District Council . All rights reserved.