• Malalamiko |
    • wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe za watumishi |
Chunya District Council
Chunya District Council

jamhuri ya muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi na Tawala za mikoa na serikali za mitaa Halmashauri ya wilaya ya Chunya

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • muundo wa Taasisi
    • Misingi Mikuu
  • Utawala
    • Mipaka ya Kiutawala
    • Idara
      • Utumishim na Utawala
      • Mipango,ufuatiliaji na Takwimu
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ujenzi
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Tehama
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Madini
  • Huduma zetu
    • Huduma za afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma ya Maji
    • Huduma za kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha, Utawala, Mipango
      • Afya, Elimu, Maji
      • Maadili
      • Ukimwi
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
      • Ratiba ya vikao
      • Mwenyekiti kuonana na Wananchi
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi ambayo haijakamilika
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Utaratibu wa kufuata
    • Ripoti
    • Sheria
    • fomu za maombi
  • kituo cha habari
    • taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba mbali mbali
    • Maktaba ya picha
    • matukio mbali mbali
    • Habari

KAMATI ZOTE ZA UJENZI ZIJENGEWE UWEZO

Imewekwa: January 30th, 2024

Mkuu wa wilaya ya Chunya Mrakibu Mwandamizi wa Uhamiaji Mhe. Mbaraka Alhaji Batenga ameagiza kamati zote za ujenzi zinazosimamamia Miradi mbalimbali ya Ujenzi wilayani Chunya zijengewe uwezo wa kusimamia miradi husika ili watakapokiuka maelekezo waweze kuchukuliwa hatua kwa haki kwa mujibu wa Kanuni, Taratibu na Miongozo

Ametoa agizo hilo jana tarehe 29/1/2024 wakati alipofanya ziara ya kukagua mradi wa Zahanati ya Igundu ambapo Zaidi ya milioni hamsini (50,000,000) zimepelekwa kujenga miundombinu mbalimbali ikiwepo tanki la maji, vinawia mikono, vyoo na kichomea taka

“Wajumbe wote wa kamati za ujenzi wajengewe uwezo wa kusimamia miradi hiyo kabla ya kukabidhiwa jukumu la kuanza kusimamia mradi husika jambo ambalo litasaidia wajumbe hao kusimamia ipasavyo mradi husika na hata kuhakikisha ukamilifu wa mradi huo” alisema Mhe.Batenga

Aidha Mhe Batenga ameuagiza uongozi wa Afya kuzingatia ushauri uliotolewa na Wakala wa maji na Usafi wa mazingira vijijini (RUWASA) pamoja na TANESCO ili kuhakikisha wananchi wa Igundu wanaendelee kutatua changamoto zote maana hilo ndio lengo la Serikali kusogeza miradi mbalimbali kwa wananchi wake wakiwepo wananchi wa wilaya ya Chunya

Kwa niaba ya Mkurugenzi wa Halmashauri ya wilaya ya Chunya Kaimu Mganga Mkuu Edward Tengulaga alisema siku saba zinatosha kuhakikisha kibao kinachoonesha huduma zinazotolewa katika zahanati hiyo kinawekwa pamoja na kibao kinachoonesha uwepo wa Zahanati eneo hilo vitu ambavyo vilibainishwa kwamba ni muhimu na havikuwepo ili kuwarahishsia wananchi ambao sio wenyeji watakapohitaji huduma hiyo

Ziara ya Mkuu wa wilaya ililenga kutembelea miradi mbalimbali inayotekelezwa katika kata ya Sangambi ambapo alitembelea pia mradi wa Maji Igundu, mradi wa ujenzi wa vyoo katika Shule ya msingi Sangambi, mradi wa ujenzi wa kituo cha Afya pamoja na kukagua hali ya mazingira katika kitongoji cha Tukuyu

Mkuu wa wilaya ya Chunya Mrakibu mwandamizi wa Uhamiaji Mhe Mbaraka Alhaji Batenga akizungumza baada ya kukagua mradi wa maji Igundu wakati akiwa ziara ya kukagua miradi kata ya Igundu

Mkuu wa wilaya ya Chunya akipokea taarifa ya ujenzi wa mradi wa kituo cha Afya Sangambi alipofanya ziara ya kukagua miradi mbalimbali inayotekelezwa katika kata ya Sangambi

Matangazo

  • ORODHA YA WALIOITWA KWENYE MAFUNZO YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA JIMBO LA LUPA December 21, 2024
  • Tangazo la Kuitwa kwenye usaili Kazi za MUDA ZA MAKARANI NA WASIMAMIZI WA SENSA 2022 July 17, 2022
  • Orodha ya walioitwa kwenye usaili Maombi ya kazi za sensa_Chunya_2022 July 17, 2022
  • ORODHA YA MAJINA YA WALIOITWA KWENYE USAILI 2022, HALMASHAURI YA WILAYA YA CHUNYA July 22, 2022
  • Zaidi

Habari Mpya

  • DC BATENGA, "HAKIKISHENI MNAMILIKI ARDHI"

    May 14, 2025
  • ZINGATIENI WELEDI NA UFANISI KAMA MLIVYOAMINIWA

    April 29, 2025
  • MAAFISA HABARI NA WAANDISHI WA HABARI KUNOLEWA ZAIDI JUU YA AFYA YA AKILI.

    April 16, 2025
  • DC CHUNYA NA SONGWE WAPELEKA OMBI MOJA KWA WAZIRI.

    April 04, 2025
  • Zaidi

Video

BILIONI 2.2 BAJETI YA TARURA WILAYA YA CHUNYA, SERIKALI TUNASHUKURU
video zaidi

Kiunganishi cha haraka

  • HATUA ZA KUANZISHA BIASHARA
  • MIONGOZO MBALIMBALI
  • FOMU ZA HUDUMA MBALIMBALI

Tovuti Nyingine Tunazohusiana

  • OR-TAMISEMI
  • BARAZA LA MITIHANI
  • majukumu ya Mamlaka ya Serikali Mtandao na Sheria ya Serikali Mtandao kwa ujumla
  • MKOA WA MBEYA
  • WIZARA YA ELIMU SAYANSI NA TEKNOLOJIA
  • WAKALA WA SERIKALI MTANDAO

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

wasiliana nasi

    Itigi Road

    sanduku la posta: P.O box 73 Chunya

    simu ya mezani: 025 2520121

    simu ya mkononi: 025 2520121

    Barua pepe: ded@chunyadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera binafsi
    • kanusho
    • MMM
    • Ramani elekezi
    • Huduma

Copyright ©2017 Chunya District Council . All rights reserved.