• Malalamiko |
    • wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe za watumishi |
Chunya District Council
Chunya District Council

jamhuri ya muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi na Tawala za mikoa na serikali za mitaa Halmashauri ya wilaya ya Chunya

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • muundo wa Taasisi
    • Misingi Mikuu
  • Utawala
    • Mipaka ya Kiutawala
    • Idara
      • Utumishim na Utawala
      • Mipango,ufuatiliaji na Takwimu
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ujenzi
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Tehama
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Madini
  • Huduma zetu
    • Huduma za afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma ya Maji
    • Huduma za kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha, Utawala, Mipango
      • Afya, Elimu, Maji
      • Maadili
      • Ukimwi
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
      • Ratiba ya vikao
      • Mwenyekiti kuonana na Wananchi
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi ambayo haijakamilika
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Utaratibu wa kufuata
    • Ripoti
    • Sheria
    • fomu za maombi
  • kituo cha habari
    • taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba mbali mbali
    • Maktaba ya picha
    • matukio mbali mbali
    • Habari

HUDUMA ZENU ZITAWAFANYA MPATE WATEJA WENGI

Imewekwa: August 18th, 2023

Kamati ya kudumu ya madiwani ya fedha, Uongozi na Mipango ikiongozwa na Mwenyekiti wa Halmashauri ya wilaya ya Chunya Mhe. Bosco Mwanginde imewataka watoa huduma ya Afya katika zahanati ya Everest kutoa huduma bora na zinazokidhi matarajio ya wananchi.

Wito huo umetolewa na kamati hiyo iliyoongozwa na Mwenyekiti wa halmashauri ya wilaya ya chunya Mhe Mwanginde wakati wa ziara ya kamati ya fedha uongozi na Mipango wakitembelea na kukagua miradi ya maendeleo kwa kipindi cha robo ya nne 2022/2023.

“Sisi chunya tuna changamoto ya huduma ya afya tunazo zahanati za serikali lakini watu hawazitumii sana wakiamanini kwamba kunakuwa hakuna dawa, hakuna wataalamlu wazuri, nyie mmeanzisha tunaamini ni wataalamu na mpo eneo sahihi na lina watu wengi huduma zenu zitawafanya mpate wateja wengi angalieni sana huduma kuanzia mapokezi na namna ya kuwatibu watu” alisema Mwanginde

Kmati hiyo iliongeza kuwa wananchi wanategemea huduma bora wanapofika kwenye zahanati kupata huduma za afya hivyo ni wajibu wao kuhakikisha wanatoa huduma bora na stahiki kwa wananchi wanaofika kupata huduma katika zahanati hiyo.

“Jitahidini sana kutoa huduma bora ambayo itawavutia na kuwashawishi wananchi waje hapa kupata huduma na ndipo mtaona mafanikio” alisema Mhe. Mwanginde

Aidha kamati imewapongeza wanakikundi hao kwa wazo la kuanzisha zahanati hiyo na imewataka kuhakikisha wanatoa huduma za kizahanati na sio kulazimisha kutoa huduma zisizo za kizahanati.

Katika hatua nyingine kamati imewapongeza wataalamu wa hamashauri ya wilaya ya Chunya kwa usimamizi na utekelezaji mzuri wa miradi inayoendelea kutekelezwa ndani ya wilaya.

Kamati imetembelea na kukagua miradi mbalimbal ya maendeleo inayotekelezwa ndani ya wilaya ya chunya kwa upande wa sekta ya Afya miongoni mwa miradi iliyotembelewa ni ujenzi wa jingo la wagonjwa wan je (OPD) na ujenzi wa Wodi ya grade one katika Hospitali ya wilaya ya Chunya, Ujenzi wa nyumba ya mkurugenzi, imetembelea Kikundi cha vijana cha UPENDO DISPENSARY GROUP kilichopo kata ya Chokaa ndicho mmliki wa Zahanati ya Everest baada ya kunufaika na mikopo inayotolewa na halmashauri.

.

Kwa sekta ya elimu miradi iliyotembelewa na kamati hiyo ni Ujenzi wa vyumba vya madarasa 2 katika shule ya Msingi mapogolo, ujenzi wa Shue mpya ya Msingi Nyerere katika kata ya makongolosi sambamba na Ujenzi wa shule mpya ya Msingi Mafyeko kata ya mafyeko zinazotekelezwa kupitia mradi wa Boost.

Matangazo

  • ORODHA YA WALIOITWA KWENYE MAFUNZO YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA JIMBO LA LUPA December 21, 2024
  • Tangazo la Kuitwa kwenye usaili Kazi za MUDA ZA MAKARANI NA WASIMAMIZI WA SENSA 2022 July 17, 2022
  • Orodha ya walioitwa kwenye usaili Maombi ya kazi za sensa_Chunya_2022 July 17, 2022
  • ORODHA YA MAJINA YA WALIOITWA KWENYE USAILI 2022, HALMASHAURI YA WILAYA YA CHUNYA July 22, 2022
  • Zaidi

Habari Mpya

  • DC BATENGA, "HAKIKISHENI MNAMILIKI ARDHI"

    May 14, 2025
  • ZINGATIENI WELEDI NA UFANISI KAMA MLIVYOAMINIWA

    April 29, 2025
  • MAAFISA HABARI NA WAANDISHI WA HABARI KUNOLEWA ZAIDI JUU YA AFYA YA AKILI.

    April 16, 2025
  • DC CHUNYA NA SONGWE WAPELEKA OMBI MOJA KWA WAZIRI.

    April 04, 2025
  • Zaidi

Video

BILIONI 2.2 BAJETI YA TARURA WILAYA YA CHUNYA, SERIKALI TUNASHUKURU
video zaidi

Kiunganishi cha haraka

  • HATUA ZA KUANZISHA BIASHARA
  • MIONGOZO MBALIMBALI
  • FOMU ZA HUDUMA MBALIMBALI

Tovuti Nyingine Tunazohusiana

  • OR-TAMISEMI
  • BARAZA LA MITIHANI
  • majukumu ya Mamlaka ya Serikali Mtandao na Sheria ya Serikali Mtandao kwa ujumla
  • MKOA WA MBEYA
  • WIZARA YA ELIMU SAYANSI NA TEKNOLOJIA
  • WAKALA WA SERIKALI MTANDAO

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

wasiliana nasi

    Itigi Road

    sanduku la posta: P.O box 73 Chunya

    simu ya mezani: 025 2520121

    simu ya mkononi: 025 2520121

    Barua pepe: ded@chunyadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera binafsi
    • kanusho
    • MMM
    • Ramani elekezi
    • Huduma

Copyright ©2017 Chunya District Council . All rights reserved.